Waberoya
Platinum Member
- Aug 3, 2008
- 15,169
- 10,785
Li-nchi hili kama kungekuwa na wapelelezi makini (siyo akina Manumba) kuna vigogo humu nchini wasingeonekana uraiani kwa muda mrefu, au kusafirishwa ahera kwa njia ya kitanzi!
wapo wa kwenye riwaya, Joram Kiango, Will Gamba na inspecta kombora!