sifi leo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 5,013
- 8,369
Kwanza nilikili kuwa Mimi ni muhanga wa kuusikia Muungano kwenye masikio ya watu tu na kusoma kidogo kweny somo la civics kidato cha tatu.
Pia nikili kuwa baadhi ya vitu nilivyoundishwa kuwa ni vya muungano nimeanza kuvisaau kutokana na muda nilio maliza shule lakini pia kutokana na mapmbano ya maisha.
Hivi ni muhimu mimi kukumbuka vitu vya muungano na visivyo vya muungano?
Any way go to the point, hivi jambo la afya ni suala la Muungano? Kama sio au ndio kwa nn taarifa za corona za TANGANYIKA na Zanzibar hazitangazwi pamoja?
Kama si suala la Muungano kwanini lisiwe sasa hasa wakati huu wa janga la ugonjwa wa corona?
Naomba elimu wana jf.na maoni yenu
Sent using Jamii Forums mobile app
Pia nikili kuwa baadhi ya vitu nilivyoundishwa kuwa ni vya muungano nimeanza kuvisaau kutokana na muda nilio maliza shule lakini pia kutokana na mapmbano ya maisha.
Hivi ni muhimu mimi kukumbuka vitu vya muungano na visivyo vya muungano?
Any way go to the point, hivi jambo la afya ni suala la Muungano? Kama sio au ndio kwa nn taarifa za corona za TANGANYIKA na Zanzibar hazitangazwi pamoja?
Kama si suala la Muungano kwanini lisiwe sasa hasa wakati huu wa janga la ugonjwa wa corona?
Naomba elimu wana jf.na maoni yenu
Sent using Jamii Forums mobile app