Ugonjwa gani huu uliowapata kuku?

Ugonjwa gani huu uliowapata kuku?

Wataalamu naombeni msaada huu ugonjwa naona ni mgeni kwangu vifaranga wanavimba macho na midomo alafu sio kama ile coryza uvimbe wake ni mgumu hautoi chochote ukibinya na sio kwamba hii ni ndui na ni vifaranga wote wa umri huu, msaada please kwa anaeufahamu huenda ni mpya. picha zake hizi👇View attachment 3283647View attachment 3283648
Wana wiki ngapi hawa mkuu, je chanjo ya kideli uliwapa?
Inaonekana kama ndui lakini naona kama umri wao haiwezekani iwe ndui.
 
Ukisema ni kideli niwape chanjo mbona ninavoelewa mm kwa uelewa wangu mdogo kuku akiwa na maambukizi hatakiwi kuchanjwa? Dada coca
Nimesema wapi kuwa ni chanjo? Nazungumzia tiba mie.
 
Kiongozi samahani inawezekana vipi hawa vifaranga kupata ndui angali hakuna mkubwa hata mmoja mwenye dalili hizo?
Asante kwa Swali zuri. Unazungumzia kifaranga wa siku ngapi? Huyo pichani ana umri zaidi ya wiki nne(4). Uambukizo wa Ndui huenea kwa njia nyingi zikiwemo kupitia chakula, maji ya kunywa au hata ww mwenyewe kama umepitia mahali huko nje au kwa wafugaji wenzako kuliko na ugonjwa huo. Pia inaweza kuwa kwa uambukizo baina ya kuku/ndege e.g. kuingiza kuku mwenye uambukizo tayari au ndege wanaotua na kula kwenye banda la kuku wako. Wengine ni panya wanaohamia kwenye banda la kwako kutokea sehemu zenye uambukizo n.k.
Kumbuka hao wakubwa wanaweza kuwa na uambukizo tayari ila hawajaonesha dalili, lakini pia inawezekana kinga ya mwili wao iko juu zaidi ya vifaranga waliopo.
*** Hebu fananisha na nyumbani kwako kwamba wote mpo hapo lakini mtoto mmoja kati ya waliopo ndiye amepatwa na malaria ilhali wote mnalala nyumba moja. Huwa kuna exemptions.
Halafu kumbuka kuku wakubwa kutokuwa na dalili hizo sio kigezo au zuio (kinga) la vifaranga kuugua.
 
Hawa muda wa kuwapa fowlpox vaccine bado mkuu kama unavyoona
Aseee!!!! Kwan muda sahihi n upi? Nipe jibu la kisayansi( sii kukariri).
Hio n ndui....ila sasa mfugaji wewe n mbishi saana.
Na ndui inaweza kuchanjwa kuanzia siku ya 21...wafugaji msikariri kua ndui n hadi sijui siku 35--42. Someni.
 
Asante kwa Swali zuri. Unazungumzia kifaranga wa siku ngapi? Huyo pichani ana umri zaidi ya wiki nne(4). Uambukizo wa Ndui huenea kwa njia nyingi zikiwemo kupitia chakula, maji ya kunywa au hata ww mwenyewe kama umepitia mahali huko nje au kwa wafugaji wenzako kuliko na ugonjwa huo. Pia inaweza kuwa kwa uambukizo baina ya kuku/ndege e.g. kuingiza kuku mwenye uambukizo tayari au ndege wanaotua na kula kwenye banda la kuku wako. Wengine ni panya wanaohamia kwenye banda la kwako kutokea sehemu zenye uambukizo n.k.
Kumbuka hao wakubwa wanaweza kuwa na uambukizo tayari ila hawajaonesha dalili, lakini pia inawezekana kinga ya mwili wao iko juu zaidi ya vifaranga waliopo.
*** Hebu fananisha na nyumbani kwako kwamba wote mpo hapo lakini mtoto mmoja kati ya waliopo ndiye amepatwa na malaria ilhali wote mnalala nyumba moja. Huwa kuna exemptions.
Halafu kumbuka kuku wakubwa kutokuwa na dalili hizo sio kigezo au zuio (kinga) la vifaranga kuugua.
Ndui husambaa kupitia jeraha( sasa jeraha hizi zinaweza kuwasababishwa na vingi....ila agent mkuu wa usambazaji wa virusi wa ndui ni MMBU, Panya, chawq n.k.
Njia ya chakula na hewa ninkwa unadra saana- kutokana na uasili wa kirusi( kirusi kukaa katika umaji maji) hivyo, kwa maambukizo kutokea n pale tu kuku watakapo kula chakula angushwa na kuku mgonjwa ndani ya muda mfupi toka kipatwe na maambukizo.
 
Wataalamu naombeni msaada huu ugonjwa naona ni mgeni kwangu vifaranga wanavimba macho na midomo alafu sio kama ile coryza uvimbe wake ni mgumu hautoi chochote ukibinya na sio kwamba hii ni ndui na ni vifaranga wote wa umri huu, msaada please kwa anaeufahamu huenda ni mpya. picha zake hizi👇View attachment 3283647View attachment 3283648
Kwa hiyo ulianza kufuga bila kuwa na elimu ya ufugaji bora wa kisasa? Nenda VETA
 
Kwa hiyo ulianza kufuga bila kuwa na elimu ya ufugaji bora wa kisasa? Nenda VETA
Hauna jipya ww haukuzaliwa kujua kila kitu, ivi hauna kazi na bando lako au kukaa kucomment ujinga tu kama haujui kitu kaa kimya kuona maoni ya wanaojua.🙏
 
Ndui haienei kwa chakula....acheni kupotoshana.
Ndui husambaa kupitia jeraha( sasa jeraha hizi zinaweza kuwasababishwa na vingi....ila agent mkuu wa usambazaji wa virusi wa ndui ni MMBU.
Uko sahihi sana mkuu. 🙏
 
Inaua saana....kuku hawastahimili virusi aina tatu kwa wakati mmoja.
Sjakuelewa point yako hasa ni ipi? Je kinachoua ni chanjo au ugonjwa?
Labda nikuulize what is a vaccine?
and explain in short types of vaccine.
 
Mambo mengine mngeacha veterinarians watoe ufafanuzi, nikweli kila mtu anahaki yakutoa maoni yake lakini haya ni maswala yakitaalam zaid ni bora kukaa kimya na kusoma ili mjifunze zaid. Wengine wanatoleana maneno machafu wakati wote wapo wrong sio vyema.
 
Sjakuelewa point yako hasa ni ipi? Je kinachoua ni chanjo au ugonjwa?
Labda nikuulize what is a vaccine?
and explain in short types of vaccine.
Mkuu; Atakuja mwenyewe Jerry Farm kukufafanulia lakini nakushauri uridhike na alichokuambia kwamba kuku hutokea hawezi au anapata shida kuhimili virus aina tatu kwa wakati mmoja. Yan hiyo chanjo ni Live- attenuated virus i.e. imebeba kwa pamoja virusi Hai vya ndui, newcastle (mdondo/kideri) na Fowl coryza vilivyo hafifishwa nguvu/uwezo au tuseme vimenyong'onyeshwa. Kazi ya vaccine aina hiyo ni kuushtua mwili ili ujitengenezee kinga. Hapo manake kuku anapewa uambukizo (virus) makusudi halafu mwili wa kuku unatakiwa upambane navyo na kuvishinda na hivyo kujijengea uwezo (kinga) ya kupambana tena endapo kutatokea uambukizo wa virusi vya aina hiyo ambavyo ndo Uganjwa halisi. Sasa kuku huyo mmoja anapewa kwa makusudi virusi vya aina tatu kwa wakati mmoja(Chanjo) na mwili unatakiwa upambane navyo na kuvishinda. Huo ni mzigo mkubwa na katika hali hiyo kuku anaweza kuwa ni mdhaifu na hivyo huchoka na kuzidiwa na virusi alivyowekewa (chanjo)japokuwa vimehafifishwa nguvu (attenuated). Kama kuku hatoweza kuhimili kishindo cha hiyo chanjo basi anaweza kufa. Lakini hebu kuwa na subra Jerry farms atakupa kwa undani kama unavyotaka:
what is a vaccine? na explain in short types of vaccine.(Ila ujue ni somo refu) Ni hayo tu.
 
Back
Top Bottom