Kwa jografia ya umeme wa kwetu I doubt kama uko huko ndugu!Mbona sisi huku hatuna ugomvi wa kidini kabisa Mheshimiwa, umechemkaa, Kizibo kimefumuka nini?
Kwa jografia ya umeme wa kwetu I doubt kama uko huko ndugu!Mbona sisi huku hatuna ugomvi wa kidini kabisa Mheshimiwa, umechemkaa, Kizibo kimefumuka nini?
Una maana huyu ni opposite wa Mdau?Huyo sio zomba zi ZOBA ndio maana anaweka mada ya uchochezi. UDINI.
huyu jamaa kwa kweli ni **** ajabu! Sijui kaolewa wapi maanake inabidi awe anapatiwa double barrel penetration asubuhi na jioni ndo atatia akili na kutulizana
Mtawanunua sana viongozi wanafiki ili mfanikishe azma yenu, ila mwisho wa siku itakula kwenu. Kama mlifanikiwa kuwazuia wakristo kujiunga na CUF kwa kukipachika label ya chama cha kiislamu, this time imekula kwenu wananchi wamewagutukia. Uzuri ni kwamba strategists wenu ndani ya UWT wenye jukumu la kuiua CDM ni wanamageuzi wazuri waliochoshwa na upuuzi wenu. CDM will prosper more and more, the only way to demolish CDM ni kuhakikisha kuwa maisha ya watanzania mnayaboresha haraka iwezekanavyo kabla ya 2015, otherwise mmeumia
Jamani waislam siku zote wanapochemsha hukimbilia kusema wanakandamizwa kwa sababu ni Waislam!Siku zote wanapotofautiana na mkristu hukimbilia kusema jamaa anawapinga kwa sababu ni mkristu. Mfano leo hii pale sinza Waislam wamegombea msikiti baadaye kiongozi wa msikiti anasema hao jamaa waliovamia msikiti ni Wakristu!! NAPENDA KUTOA ANGALIZO KWAMBA: Siku wakritu wakiamua kujibu mapiga hapo ndipo vita vya kidini vitaanza. kwa macho wangu naona muda huo umekaribia sana! its just a few years to come.
Naomba uwe mkweli na kuwalaani watu wa namna hii kila siku bila kujali habari imehusiana na CHADEMA au CCM kwani mwisho wa siku tunaishi sote kwenye nchi moja. Lengo langu ni kuwa tuache unafiki wa kukataa udini eti habari imeelekezwa kwa Chama fulani tunachoshabikia.Mawazo ya Zomba ni ya hatari na yanahitaji kuupuzwa kabisa!!!!
Political extremism involves two prime ingredients: an excessively simple diagnosis of the national's problems, and a conviction that there are identifiable villains back of it all.
Wewe Zomba na watu wa jamii yako ni wa kuogopa kama ukoma katika nchi yetu kwa maslahi ya amani yetu. "When the power of love overcomes the love of power, the world will know peace"
Kwa mujibu wa habarti za uhakika kuto Mkoani Iringa, ndani ya Chadema mkoa wa Iringa, kuna ugomvi wa kidini umezuka baina ya mwanachma mmoja kwa jina Abuu na Mbunge ambae ni Kiongozi wa kanisa.
Haya jamani, ikiwa ndani ya chama ni hivyo! Jee nje?
Kwa mujibu wa habarti za uhakika kuto Mkoani Iringa, ndani ya Chadema mkoa wa Iringa, kuna ugomvi wa kidini umezuka baina ya mwanachma mmoja kwa jina Abuu na Mbunge ambae ni Kiongozi wa kanisa.
Haya jamani, ikiwa ndani ya chama ni hivyo! Jee nje?