Uganda yatangaza kuzima Intaneti kuanzia leo Januari 13 ili kupisha Uchaguzi Mkuu

Uganda yatangaza kuzima Intaneti kuanzia leo Januari 13 ili kupisha Uchaguzi Mkuu

Serikali ya Uganda, kupitia Tume ya Mawasiliano ya Uganda (UCC), imetangaza kusimamisha kwa muda huduma za intaneti kwa umma na usajili wa laini mpya za simu nchini humo, ili kuzuia usambazawaji wa taarifa potofu, vitendo vinayoweza kuchochea vurugu au kuhatarisha usalama wa taifa.


Kwa mujibu wa agizo hilo, waendeshaji wote wa mitandao ya simu na watoa huduma za intaneti wametakiwa kusitisha huduma hizo kuanzia Januari 13, 2026 saa 12 jioni hadi itakapotolewa taarifa nyingine ya kurejesha huduma.

Huduma zilizosimamishwa ni pamoja na upatikanaji wa intaneti kwa umma, uuzaji na usajili wa SIM kadi mpya pamoja na huduma za data roaming kwa nchi wanachama wa One Network Area.

Hata hivyo, huduma muhimu kama mifumo ya afya, benki, ATM, malipo ya kodi, mifumo ya serikali, umeme, maji, mafuta, usafiri na usalama wa mitandao zimeruhusiwa kuendelea kufanya kazi kupitia intaneti isiyo ya simu.

UCC imesisitiza kuwa matumizi ya mitandao ya kijamii, programu za ujumbe na VPN za simu yakipigwa marufuku kabisa.


Soource: Uganda Communications Commision
ishakuwa regular Sasa aiseh Hawa viongozi wakichekewa wanauwa WATU BILA SABABU samia regime
 
šŸ‡ŗšŸ‡¬#Uganda presidential elections @2026
āš ļø
1. Internet off šŸ““


2. Bio -metric Voters Verification Machines Are Not Working šŸ¤”


#ProtestVoteUg2026 šŸ“ loading... šŸ”„
 
Serikali ya Uganda, kupitia Tume ya Mawasiliano ya Uganda (UCC), imetangaza kusimamisha kwa muda huduma za intaneti kwa umma na usajili wa laini mpya za simu nchini humo, ili kuzuia usambazawaji wa taarifa potofu, vitendo vinayoweza kuchochea vurugu au kuhatarisha usalama wa taifa.


Kwa mujibu wa agizo hilo, waendeshaji wote wa mitandao ya simu na watoa huduma za intaneti wametakiwa kusitisha huduma hizo kuanzia Januari 13, 2026 saa 12 jioni hadi itakapotolewa taarifa nyingine ya kurejesha huduma.

Huduma zilizosimamishwa ni pamoja na upatikanaji wa intaneti kwa umma, uuzaji na usajili wa SIM kadi mpya pamoja na huduma za data roaming kwa nchi wanachama wa One Network Area.

Hata hivyo, huduma muhimu kama mifumo ya afya, benki, ATM, malipo ya kodi, mifumo ya serikali, umeme, maji, mafuta, usafiri na usalama wa mitandao zimeruhusiwa kuendelea kufanya kazi kupitia intaneti isiyo ya simu.

UCC imesisitiza kuwa matumizi ya mitandao ya kijamii, programu za ujumbe na VPN za simu yakipigwa marufuku kabisa.


Soource: Uganda Communications Commision
Uganda pacha wake ni Tanzania
 
Serikali ya Uganda, kupitia Tume ya Mawasiliano ya Uganda (UCC), imetangaza kusimamisha kwa muda huduma za intaneti kwa umma na usajili wa laini mpya za simu nchini humo, ili kuzuia usambazawaji wa taarifa potofu, vitendo vinayoweza kuchochea vurugu au kuhatarisha usalama wa taifa.


Kwa mujibu wa agizo hilo, waendeshaji wote wa mitandao ya simu na watoa huduma za intaneti wametakiwa kusitisha huduma hizo kuanzia Januari 13, 2026 saa 12 jioni hadi itakapotolewa taarifa nyingine ya kurejesha huduma.

Huduma zilizosimamishwa ni pamoja na upatikanaji wa intaneti kwa umma, uuzaji na usajili wa SIM kadi mpya pamoja na huduma za data roaming kwa nchi wanachama wa One Network Area.

Hata hivyo, huduma muhimu kama mifumo ya afya, benki, ATM, malipo ya kodi, mifumo ya serikali, umeme, maji, mafuta, usafiri na usalama wa mitandao zimeruhusiwa kuendelea kufanya kazi kupitia intaneti isiyo ya simu.

UCC imesisitiza kuwa matumizi ya mitandao ya kijamii, programu za ujumbe na VPN za simu yakipigwa marufuku kabisa.


Soource: Uganda Communications Commision
Huu upumbavu wa kuzima internet wamejifunza kwa Samuya. Hata kule Iran pia wamezima kwa kumuiga Samuya. Huyu bibi ni kichomi.
 
Africa hatukuwa tayari kuwa huru... Sasa mantiki ya kuachwa huru iko wapi?
 
Serikali ya Uganda, kupitia Tume ya Mawasiliano ya Uganda (UCC), imetangaza kusimamisha kwa muda huduma za intaneti kwa umma na usajili wa laini mpya za simu nchini humo, ili kuzuia usambazawaji wa taarifa potofu, vitendo vinayoweza kuchochea vurugu au kuhatarisha usalama wa taifa.


Kwa mujibu wa agizo hilo, waendeshaji wote wa mitandao ya simu na watoa huduma za intaneti wametakiwa kusitisha huduma hizo kuanzia Januari 13, 2026 saa 12 jioni hadi itakapotolewa taarifa nyingine ya kurejesha huduma.

Huduma zilizosimamishwa ni pamoja na upatikanaji wa intaneti kwa umma, uuzaji na usajili wa SIM kadi mpya pamoja na huduma za data roaming kwa nchi wanachama wa One Network Area.

Hata hivyo, huduma muhimu kama mifumo ya afya, benki, ATM, malipo ya kodi, mifumo ya serikali, umeme, maji, mafuta, usafiri na usalama wa mitandao zimeruhusiwa kuendelea kufanya kazi kupitia intaneti isiyo ya simu.

UCC imesisitiza kuwa matumizi ya mitandao ya kijamii, programu za ujumbe na VPN za simu yakipigwa marufuku kabisa.


Soource: Uganda Communications Commision
Hapo ndipo hakili ya viongozi wa Africa ilipoishia
 
Back
Top Bottom