Uganda yatangaza kuzima Intaneti kuanzia leo Januari 13 ili kupisha Uchaguzi Mkuu

Uganda yatangaza kuzima Intaneti kuanzia leo Januari 13 ili kupisha Uchaguzi Mkuu

The former South African president the late Pieter Willem Botha once said, "the gravest mistake that will never be pardoned is to allow the black man to rule." Today the evidence is there for all to see. Independent African countries are a laughing stock of the world 🌎🌍
 
Siku uganda itakapotawaliwa na utawala mpya hawa madhalimu inabidi wanyongwe kabisa....!!!

Africa haitaendelea kamwe, tuna ubinafsi sana sisi watu wenye ngozi nyeusi
 
Mtu mweusi ni tatizo sana huyo M7 yupo madarakani miaka 40 sasa ni kitu gani anahitaji zaidi ya kupumzika? Na kuona matunda yake hivi hawa viongozi yeye na kagame huwa hawawazi ipo siku watakufa? Kwahiyo ikiwa hawataki wengine waongoze siku wakifa nani ataongoza hizo nchi?
Eti anataka kuona bomba la mafuta la hoima linafanya kazi kwenye utawala wake kabla hajafa.
 
Bora wametoa taarifa mapema,kuliko ile ya kujikuta tu mtandao haupatikani.
 
Serikali ya Uganda, kupitia Tume ya Mawasiliano ya Uganda (UCC), imetangaza kusimamisha kwa muda huduma za intaneti kwa umma na usajili wa laini mpya za simu nchini humo, ili kuzuia usambazawaji wa taarifa potofu, vitendo vinayoweza kuchochea vurugu au kuhatarisha usalama wa taifa.


Kwa mujibu wa agizo hilo, waendeshaji wote wa mitandao ya simu na watoa huduma za intaneti wametakiwa kusitisha huduma hizo kuanzia Januari 13, 2026 saa 12 jioni hadi itakapotolewa taarifa nyingine ya kurejesha huduma.

Huduma zilizosimamishwa ni pamoja na upatikanaji wa intaneti kwa umma, uuzaji na usajili wa SIM kadi mpya pamoja na huduma za data roaming kwa nchi wanachama wa One Network Area.

Hata hivyo, huduma muhimu kama mifumo ya afya, benki, ATM, malipo ya kodi, mifumo ya serikali, umeme, maji, mafuta, usafiri na usalama wa mitandao zimeruhusiwa kuendelea kufanya kazi kupitia intaneti isiyo ya simu.

UCC imesisitiza kuwa matumizi ya mitandao ya kijamii, programu za ujumbe na VPN za simu yakipigwa marufuku kabisa.


Soource: Uganda Communications Commision
Afrika, afrika, afrika, bara la giza!
 
Lijamaa limekaa madarakani zaidi ya 40 years lakini bado tu linashikilia bango ,africa sisi tulilaaniwa na ndio maana mzungu alituletea kila kitu kuanzia dini, technologia na mengineyo.Kiufupi tulikuwa dark continent ndo naanza kuamini kisawasawa hio ishu
 
Naona wanajazana ujinga
FB_IMG_1768397124992.jpg
 
Kaguranyi bora amnyooshe tu ,unaongoza 40yrs+ bado tu unataka tena? 81 yrs bado tu? Waachie vijana walete vitu vipya.
 
Back
Top Bottom