B.G TANTAWI
JF-Expert Member
- Jul 3, 2013
- 495
- 375
Serikali ya Uganda imetangaza kuanza matengenezo ya njia ya umeme kutoka uganda hadi Kagera kwa muda wa miezi 40, ili kupunguza hisia za hujuma ambazo pengine zingenaswa na Tanzania, Uganda imesema itakuwa inakata umeme kuanzia IJUMAA-JUMA PILI, kwa maana kuwa Wakazi wa Kagera watapata umeme kuanzia JUMA TATU-ALHAMIC Tu.
Lazima serikali yetu kuanzia sasa iamke kutoka usingizini ifanye kazi usiku na mchana ili Tanzania iwe moja ya nchi Imara sana katika Afrika kiuchumi, Kisiasa na kijeshi, Hatuna sababu ya kuendelea kununua umeme nchi nyingine.
Lazima serikali yetu kuanzia sasa iamke kutoka usingizini ifanye kazi usiku na mchana ili Tanzania iwe moja ya nchi Imara sana katika Afrika kiuchumi, Kisiasa na kijeshi, Hatuna sababu ya kuendelea kununua umeme nchi nyingine.