Miss Zomboko
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 4,501
- 9,280
Wabunge wa Uganda wameeleza kupinga zuio dhidi ya uuzaji nje wa mahindi lililowekwa na nchi jirani ya Kenya kwa sababu za “kiusalama”.
Spika wa bunge la Uganda Rebecca Kadaga amemwagiza Waziri mkuu wa kiongozi wa biashara ya serikali Ruhakana Rugunda kutoa maelezo kwa bunge leo Jumatano kuhusu hatua zinazochukuliwa kukabiliana na zuio la Kenya dhidi ya mahindi ya Uganda.
Wiki iliyopita Kenya ilitangaza marufuku dhidi ya uagizaji wa mahindi kutoka Uganda na Tanzania kwa madai kuwa hayafai kutumiwa na binadamu.
Spika wa bunge la Uganda Rebecca Kadaga amemwagiza Waziri mkuu wa kiongozi wa biashara ya serikali Ruhakana Rugunda kutoa maelezo kwa bunge leo Jumatano kuhusu hatua zinazochukuliwa kukabiliana na zuio la Kenya dhidi ya mahindi ya Uganda.
Wiki iliyopita Kenya ilitangaza marufuku dhidi ya uagizaji wa mahindi kutoka Uganda na Tanzania kwa madai kuwa hayafai kutumiwa na binadamu.