Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 45,429
- 95,911
Polisi nchini Uganda imesimamisha upeperushaji wa matangazo ya vituo kumi vya radio, ambavyo vinasemekana vimekuwa vinatumia kinyume cha sheria mitambo ya shirika la utangazaji linalomilikiwa na serikali, UBC. Miongoni mwa radio hizo kumi ni BBC, radio France international- na televisheni ya Kenya ya CITIZEN. Mashirika mengi hukodisha mitambo ya shirika hilo la serikali UBC.