Ugali wa jana

0769099203
Ulishe kwenye namba hii,plzzzz
 
Zamani marehemu Bibi alikuwa anauchoma ugali uliobaki kwenye Moto asubuhi Kisha anatukatia mapande mapande na tunamezea na maziwa fresh ya Moto ya mbuzi............. Ulikuwa mtamu sana....

Siku hizi ukienda majumbani mwa watu unashangaa sima nzima ipo jalalani.....vitoto vinakula tambi na chai au maandazi au vitumbua........... Mwili watatoa wapi.... Ukiniangalia Mimi sipigi chuma ila Nina uwezo wa kuzuia watu wanne wenye kilo hamsini hamsini.........

Kula sima isiyokobolewa kwa afya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…