UGALI unaitwaje kwa Kingereza/Kimombo?

UGALI unaitwaje kwa Kingereza/Kimombo?

K 4 LIFE

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2015
Posts
2,567
Reaction score
419
wakuu ma great thinkers namkuje huku tafadhari mniambie kuwa chakula cha UGALI kinaitwaje kwa kimombo? zawadi itakuhusu.
 
Stiff naked fools........au quante........
 

Hahaaaaaa, hii imenikumbusha miaka ya nyuma nikuwa chuo kuna mwl mmoja ndo alikuwa ametoka majuu kuchukua master yake, na siku moja akiwa class anasema. . how do you call stiff porridge in swahili? is it Yugalaey?? Haha jamaa alikuwa na mbwembwe huyo.
 
Tusiwe Watu Wa Kukopa Maneno Tu Milele Acha Ugali Utambulike Kama Ugali Watu Wa Nje La Bara La Africa Wajue Mmalawi Akisema Nsima Anamanisha Ugali.
 
Back
Top Bottom