MSEZA MKULU
JF-Expert Member
- Jul 22, 2011
- 3,768
- 5,635
PITA HUKU,Ndiyo maana nikasema mapema najua anakoelekea lakini akasema mimi namlisha maneno.
Lakini wewe mwenyewe umehakikisha kawazungumzia wale wale wanefili na malaika waasi ambao wapo kwenye kitabu cha Enoch. Sikutaka kuyazungumzia sana haya mambo kwasababu nimeogopa yatawachanganya kabisa watu wasiyoyajua kwasababu mimi nimezungumzia mada katika muktadha wa kisiasa na Kisheria lakini ulimwengu wa roho nikauacha kabisa.
Lakini ndugu yangu kanivaa kana kwamba haya mambo sina ufahamu nayo, kwa bahati mbaya Theolojia ndiyo naisoma kipindi hiki. Nimesikitika kwasababu tumewatoa watu wasiokuwa wanajua kitu kwenye mstari na kuwachanganyia madesa kabisa.
KUNA conspiracy, Mambo ya kiroho, Mambo ya kiuchumi, kisiasa na kivita. Lakini jamaa amekuwa biased kwenye kona moja ambayo inadestroy concept ya mada.
Hapa kazi ipo
WW1, WW2 na kinachoendelea Sasa Middle east vilipangwa mwaka 1871 kama barua hii ni kweli