jombi95
JF-Expert Member
- Jul 24, 2016
- 1,404
- 2,156
Wakuu, Wakubwa, Wakulungwa.
Kwa upepo huu wa korona na sisi tunaolima mazao ambayo yanategemea soko kutoka nje ya nchi, mwaka huu kutakuwa na neema kweli kama mwaka Jana.? Au tujiandae kisaikolojia tu.?
Naona kama kuna dalili za kama mwaka juzi kwenye bei ya mahindi na mbaazi.
Kwa upepo huu wa korona na sisi tunaolima mazao ambayo yanategemea soko kutoka nje ya nchi, mwaka huu kutakuwa na neema kweli kama mwaka Jana.? Au tujiandae kisaikolojia tu.?
Naona kama kuna dalili za kama mwaka juzi kwenye bei ya mahindi na mbaazi.