Ufuska Vyuoni

Haahaaaa naingia wa 3 sasa na ufuska huo sina na nmekaa hostel... Life aint the same kwa watu wote.... Kuna watu wake zao ni mama wa nyumbani ila washatembea na wauza mkaa wote wauza maji na wauza genge had wa mtaa wa 7. Na kuna wengeni wapo home na wametulia.... Kuna waume wametembea had na ndugu wa mke.. Na wafanyakaziwenzake na housegal na waumini wenzake... Na wapo wanaume waliopo chuo na wanajua wanachofanya
 
Tuombe tu Mungu.... Nimeumia sana hearing that 99.99% ya chuo gals wanafanya ufuska.... Kwa wanawake ambao hawajapitia chuo ndo malaika?
Tunapewa sifa ambazo aint ours...
only umpate tu mwanaume muelewa na sio hawa wenye akili za kukaririshwa et kila bint aliepitia chuo kafanya umalaya..wapo waelewa
 
Wanawake wa chuo wanachoniudhi wanatoa mimba sana ili waendelee kuchuna wanaume haijalishi hata kama mwanaume ameonesha interest ya kumuoa.

Wahuni sana
 
Iv ukiambia ulete evidnce ya uhakika na picha utaweza? Useme chuo gani hall gan wanapojiuza hao wana dip na certificate....
Na hao wanunuzi uandike takwim zao na kama ni wazee...vijana...wanachuo au wafanyakazi... Na hao wanunuzi ni wakike au wakiume... Maana some issues tunaongea tu bila takwim halisi
 
Wanawake wa chuo wanachoniudhi wanatoa mimba sana ili waendelee kuchuna wanaume haijalishi hata kama mwanaume ameonesha interest ya kumuoa.

Wahuni sana
Mi cjawah toa ata moja na nko chuo..... Na tunaoonaga kwenye mitaro uswaz watoto wametupwa ni wewe umetoa?
 
Yan mi cjaridhika kwa kweli... Maana ndo nmerud tu hom af nakutana na uzi kama huu... Ngoja nkaoge npumzike nije nimtolee uvivu mleta uzi
 
ndo mambo ya kwenu hayo.umalayaa tu.sio kila mwanamke ni kama dada zako na sio kila mwanaume ni kama wewe..eid njema mwaya!
Namimi umenitukana??? Au ni kiranja tuu



Mmmmmmmmh
 
Mi nakumbuka kuna madem wanapgwa sana nawakufunzi tena ole wenu demu apendwe namkufunzi alaf azingue mtasapu darasa zima au we boyfriend wake
 
Haaah Queen, mumie ngoja nikueleze kitu kama kweli wewe ni miongoni mwa wachache walobahatika kwenda shule na kufika chuo , basi umejionea , wanaofanya ufuska huu, level zote za kuanzia cert mpaka degree, nimekaaa miaka minne chuoni nimejionea, na hata kushuhudia ...so kama wewe haujaviona hivi naimani utakuwa , kipofu.
 
hali ni mbaya nimejionea mwenyewe pale mbeya chuo cha uhasibu tia kinazungukwa na viwanja vya starehe city pub mbeya carnival na green lounge 60% ya changudoa wanaojiuza kwenye zile club ni wanachuo achana na ile vibe new maisha club ambayo iko pale mzumbe geitini ni hatari tupu nahisi iko siku tutapata kiongozi mkubwa serikalini ambaye amewahi fanya uchangudoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…