Ufupisho: Tiba Ya Babu

Ufupisho: Tiba Ya Babu

The Pen

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2010
Posts
755
Reaction score
261
Threads (pros and cons) khs tiba ya "Babu" zimekuwa nyingi mno. Kwa maoni yangu, ufupisho wa hizo zote ni huu:
  1. Wapo wanaoona kuwa kupona ni kupona tu, kwa njia yoyote iwayo.
  2. Wapo wanaoona kuwa kupona ni sharti kuwe kwa jinsi imani zao (za kidini, nk) zinavyoruhusu.
  3. Wapo wanaoona kuwa kupona ni sharti kuwe kwa namna sayansi inavyoruhusu.
Je, wewe unalionaje hili?
 
Threads (pros and cons) khs tiba ya "Babu" zimekuwa nyingi mno. Kwa maoni yangu, ufupisho wa hizo zote ni huu:

  1. Wapo wanaoona kuwa kupona ni kupona tu, kwa njia yoyote iwayo.
  2. Wapo wanaoona kuwa kupona ni sharti kuwe kwa jinsi imani zao (za kidini, nk) zinavyoruhusu.
  3. Wapo wanaoona kuwa kupona ni sharti kuwe kwa namna sayansi inavyoruhusu.
Je, wewe unalionaje hili?

#1 wamepotea kabisa na ni mateka wa nguvu za giza
#2 wako sahihi na mimi ni mmoja wapo
#3 wako sahihi, ila kwa kuwa babu kasema dawa yake siyo scientific bali ya kiimani, basi hoja yao ni irrelevant na mjadala

Glory to God
 
# 2 Unakumbuka ile habari ya kushonewa nyuzi zenye asili ya kitimoto ndani ya viungo vyamwilini ili ukipona ziungane na mwili? hapo kama ulikuwa mahututi hujitambui na imani yako haiuhusu inakuwaje??
 
Nakubaliana na #2 na Judy pia. Na hicho ndicho kitu Babu anachosema pia, uponyaji upo 'nyuma' na si 'mbele' ya Kikombe.

Mungu ameleta uponyaji kupitia zao la Mti.
 
Back
Top Bottom