successor
JF-Expert Member
- Oct 25, 2012
- 3,084
- 6,155
Kwahiyo huu mradi umeanzishwa na Magu? Ficha utupu wako.Unaelewa kuwa toka Jk aingie 2005
Ndio imeisha sasa
miaka mingapi mpuuzi wewe
Kwahiyo huu mradi umeanzishwa na Magu? Ficha utupu wako.Unaelewa kuwa toka Jk aingie 2005
Ndio imeisha sasa
miaka mingapi mpuuzi wewe
Acheni ukilaza,hiyo barabara,imejengwa na world bank,serikali zenu hazikutia hata peni
Hao World Bank wanawezaje kufanya kitu pasipo kuishirikisha serikali husika?? Kibali pia ni mchango wa serikali Mkuu.Acheni ukilaza,hiyo barabara,imejengwa na world bank,serikali zenu hazikutia hata peni
Weshajua mwenye cheo hicho anapenda kiki za guta..........wanawaruka wahusika wanaona sifa hata bucha zao zikizinduliwa na mpenda kiki....nae atakuja tu. Mawaziri msihofu mimi nikizindua kale kamradi kangu (Nje ya Nchi - maana najua mpenda kiki hatokuja) ntamualika waziri husika.Kuna watu hawajui wadhifa wa vyeo vyao, ningekuwa Diamond ningemkaribisha kwenye uzinduzi wa Karanga zangu.
Kwani Maandamano ya Muungano yatakuwa yameisha?
vitazinduliwa baada ya yeye kustaafu kama JKBado anazindua vya Jakaya, cha kwake alichozindua ni ukuta wa Mererani.
Hii iko vizuri sana,features zake,hasa yale maeneo ya Nyan'goro,dakika takribani 30 unacheza na kona kali za kufa mtu...Raisi atakuja kufungua pia barabara ya Iringa Dodoma ambayo kwa sasa inazibwa viraka pale nduli jirani na airport
JK atakumbukwa kwa mengi