Ufunguo wa kweli wa kujiajiri upo VETA, graduates njooni mfanye short course mpate skills za ziada

FRESHMAN

JF-Expert Member
Sep 29, 2011
8,822
33,527
habarini wadau..

Viwanda vinahitaji ujuzi na ujuzi unapatikana veta...

zama hizi ni vizuri kuwa na skills nyingi nyingi... sio za kukaa bure bure kutegemea kitu kimoja..

veta ina short course nyingi sana.. ambazo zinaweza msaidia kijana kujiajiri..

wenye wadogo zenu waliomaliza form 6 wanasubiri kwenda vyuoni october, graduates msio na ajira, vijana mlio vijiweni pia.. waajiriwa mtakaopenda pia.. mnakaribishwa sana Veta kwa mafunzo tofauti..

idara yangu inakukaribisha kwenye mafunzo ya tshirt printing... na kuna idara zingine pia zina mafunzo mengi mengi tofauti kama umeme, ufundi magari, mapambo maharusi, keki, video, photography, hair dressing, welding, carpentry, etc...

VETA NI ZAIDI YA CHUO KIKUU TUKIONGELEA PRACTICAL LEARNING
 

Attachments

  • LEARN  HOW TO PRINT  T-SHIRTS ndogo.jpg
    LEARN HOW TO PRINT T-SHIRTS ndogo.jpg
    150.1 KB · Views: 138
Ada sh ngap?

kwa watanzania ada ni bei nafuu sana.. mfano hiyo short course ada ni laki moja tu...

sasa jiulize mtu mwenye ujuzi huo huo laki moja anaingiza kwa siku ngapi ? unaipata hata kwa siku tu
 
habarini wadau..

Viwanda vinahitaji ujuzi na ujuzi unapatikana veta...

zama hizi ni vizuri kuwa na skills nyingi nyingi... sio za kukaa bure bure kutegemea kitu kimoja..

veta ina short course nyingi sana.. ambazo zinaweza msaidia kijana kujiajiri..

wenye wadogo zenu waliomaliza form 6 wanasubiri kwenda vyuoni october, graduates msio na ajira, vijana mlio vijiweni pia.. waajiriwa mtakaopenda pia.. mnakaribishwa sana Veta kwa mafunzo tofauti..

idara yangu inakukaribisha kwenye mafunzo ya tshirt printing... na kuna idara zingine pia zina mafunzo mengi mengi tofauti kama umeme, ufundi magari, mapambo maharusi, keki, video, photography, hair dressing, welding, carpentry, etc...

VETA NI ZAIDI YA CHUO KIKUU TUKIONGELEA PRACTICAL LEARNING
Course ni muda gani? Vipi kuhusu upatikanaji wa hivyo vifaa vya kufanyia printing na bei zake pia?
 
Course ni muda gani? Vipi kuhusu upatikanaji wa hivyo vifaa vya kufanyia printing na bei zake pia?

hatuuzi vifaa sisi.. si ni mafunzo tu.. baada ya mafunzo utaamua mwenyewe utumie njia gani au vifaa vya bei gani.. haiko uniform useme ni lazima uwe na kifaa flani... na kwenye mafunzo kuna somo la equipments na lina mtaalamu wake wa kufundisha pale veta
 
hatuuzi vifaa sisi.. si ni mafunzo tu.. baada ya mafunzo utaamua mwenyewe utumie njia gani au vifaa vya bei gani.. haiko uniform useme ni lazima uwe na kifaa flani... na kwenye mafunzo kuna somo la equipments na lina mtaalamu wake wa kufundisha pale veta
Kama hamna taarifa sahihi kuhusu vifaa basi hamjamsaidia mtu, mnachotaka ni kukusanya hela za watu wakishamaliza course hawajui waanzie wapi, na wengine watatoa hiyo laki 1 baada ya kumaliza mafunzo anakuja kubaini mashine ni 1 million ambayo pia hana na laki 1 yake ishaliwa anabaki na vyeti kabatini.


Ushauri: Tafuteni taarifa sahihi za mashine na bei zake na mpate dealers ambao mtajenga connection ya kununua bei affordable ili muhitimu ajue akitoka point anaenda point B.

Sio mnamaliza mafunzo mnampa muhitimu hard release itakua ni matatizo yale yale.

VETA ni taasisi kubwa, ongeeni na SIDO, ongeeni na wadau na wafanya biashara wakubwa mliweke hilo sawa.
 
hatuuzi vifaa sisi.. si ni mafunzo tu.. baada ya mafunzo utaamua mwenyewe utumie njia gani au vifaa vya bei gani.. haiko uniform useme ni lazima uwe na kifaa flani... na kwenye mafunzo kuna somo la equipments na lina mtaalamu wake wa kufundisha pale veta
Sasa hata estimation ya bei hamjui,mtu amalize course aje aambiwe machine 5Mil ataanzaje kujiajiri? Jipangeni vzr, angalau muwe na full idea ya huo ujasiriamali
 
Sasa hata estimation ya bei hamjui,mtu amalize course aje aambiwe machine 5Mil ataanzaje kujiajiri? Jipangeni vzr, angalau muwe na full idea ya huo ujasiriamali

ungejua dhumuni la veta... usingesema hivyo.. bei unaambiwa haipo maalumu. na ina mtaalamu wake.. unalazimisha mimi nikujibu kuhusu machine.. mimi sio mtaalamu wa machine.. ni mtaalamu wa rangi.. so nikikujibu la bei za rangi.. kuhusu machine ukihitaji use google au njoo veta kuna mtaalamu wake atakujibu... au tembelea watu wanaoprint watakujibu huku unaona...
 
veta sio wauzaji wa machine. na haijaanzishwa kwa ajili ya kufanya biashara... veta ni kama udsm ipo kwa ajili ya kuelemisha watanzania.. na sera ya elimu ni uchangiaji.. hiyo laki moja ni ndogo saba kuliko maarifa utakayoyapata veta.. na serikali inatia ruzuku ili watanzania mpate elimu ndio maana ada ndogo.. niambie wapi tanzanua au duniani utapata mafunzo kwa laki moja tu... narudia tena veta haifanyi biashara ukihitaji machine tembelea madukani.. na mimi sio mtaalamu wa machine.. why nikujibu uongo... maana kuna watu wengi wanaprint tshirt hawana machine yeyote. mitaani kibao... sasa wewe umekomaa machine..

fundi asiye na ujuzi ni anasingizia vifaa muda wote... nenda kariakoo kwa wanaoprint tshirt ukague kama wana machine... ? unaambiwa kila kitu kina mtaalamu wake.. unalazimisha nikujibu mimi ambaye sio mtaalamu wa hiyo machine

Kama hamna taarifa sahihi kuhusu vifaa basi hamjamsaidia mtu, mnachotaka ni kukusanya hela za watu wakishamaliza course hawajui waanzie wapi, na wengine watatoa hiyo laki 1 baada ya kumaliza mafunzo anakuja kubaini mashine ni 1 million ambayo pia hana na laki 1 yake ishaliwa anabaki na vyeti kabatini.


Ushauri: Tafuteni taarifa sahihi za mashine na bei zake na mpate dealers ambao mtajenga connection ya kununua bei affordable ili muhitimu ajue akitoka point anaenda point B.

Sio mnamaliza mafunzo mnampa muhitimu hard release itakua ni matatizo yale yale.

VETA ni taasisi kubwa, ongeeni na SIDO, ongeeni na wadau na wafanya biashara wakubwa mliweke hilo sawa.
 
veta sio wauzaji wa machine.. ukihitaji machine tembelea madukani.. na mimi sio mtaalamu wa machine.. why nikujibu uongo... maana kuna watu wengi wanaprint tshirt hawana machine yeyote. mitaani kibao... sasa wewe umekomaa machine..

fundi asiye na ujuzi ni anasingizia vifaa muda wote... nenda kariakoo kwa wanaoprint tshirt ukague kama wana machine... ? unaambiwa kila kitu kina mtaalamu wake.. unalazimisha nikujibu mimi ambaye sio mtaalamu wa hiyo machine
Unaanza kutoka povu sasa ndio ubaya wa watanzania.

Nimekushauri VETA kama taasisi ya serikali haiwezi kushindwa kupata ABCs za mashine au vifaa vya kiufundi.

Sikuongelei wewe maana umejivika kwamba wewe ndio VETA, hebu acha povu lisilokua na maana soma ushauri wangu vizuri sio kwamba nimekulaumu, wala sijakuuliza details za machine.

Wewe kama utashirikiana na viongozi wenzako vizuri huko VETA basi mnaweza kuboresha hilo zoezi la short course kabisa na watu wakakimbilia huko maana wakishapata ujuzi watajua taarifa sahihi za machine na wapi zinapatikana.

Nyie cha kufanya mtafute dealers wa hizo machine mshirikiane nao mbona suala rahisi tu.
 
Unaanza kutoka povu sasa ndio ubaya wa watanzania.

Nimekushauri VETA kama taasisi ya serikali haiwezi kushindwa kupata ABCs za mashine au vifaa vya kiufundi.

Sikuongelei wewe maana umejivika kwamba wewe ndio VETA, hebu acha povu lisilokua na maana soma ushauri wangu vizuri sio kwamba nimekulaumu, wala sijakuuliza details za machine.

Wewe kama utashirikiana na viongozi wenzako vizuri huko VETA basi mnaweza kuboresha hilo zoezi la short course kabisa na watu wakakimbilia huko maana wakishapata ujuzi watajua taarifa sahihi za machine na wapi zinapatikana.

Nyie cha kufanya mtafute dealers wa hizo machine mshirikiane nao mbona suala rahisi tu.


veta inajua na inawapa hizo abc kwenye mafunzo... sio mitandaoni tu... ama ukihitaji njoo veta idara husika mtaalamu atakujibu kila kitu.. sio mtandaoni.. veta haitoi mafunzo mtandaoni
 
veta inajua na inawapa hizo abc kwenye mafunzo... sio mitandaoni tu... ama ukihitaji njoo veta idara husika mtaalamu atakujibu kila kitu.. sio mtandaoni.. veta haitoi mafunzo mtandaoni
The way tunavyomove mtandao haupekiki, kwa ambao wapo mikoani hiyo inapatikanaje.
 
The way tunavyomove mtandao haupekiki, kwa ambao wapo mikoani hiyo inapatikanaje.

tutafika huduma ya online lectures.. ila kwa sasa bado.. ila tutafika tu.. ndio maana nikamjibu kijana kwa sasa bado.. njoo physical.. kwa sasa tumeanza na veta makao makuu ila yatazunguka na veta za mikoani
 
Kama hamna taarifa sahihi kuhusu vifaa basi hamjamsaidia mtu, mnachotaka ni kukusanya hela za watu wakishamaliza course hawajui waanzie wapi, na wengine watatoa hiyo laki 1 baada ya kumaliza mafunzo anakuja kubaini mashine ni 1 million ambayo pia hana na laki 1 yake ishaliwa anabaki na vyeti kabatini.


Ushauri: Tafuteni taarifa sahihi za mashine na bei zake na mpate dealers ambao mtajenga connection ya kununua bei affordable ili muhitimu ajue akitoka point anaenda point B.

Sio mnamaliza mafunzo mnampa muhitimu hard release itakua ni matatizo yale yale.

VETA ni taasisi kubwa, ongeeni na SIDO, ongeeni na wadau na wafanya biashara wakubwa mliweke hilo sawa.
Usipende kutafuniwa uje kumeza tu ww unashindwa kufuatilia kwanza ndio ukasome kila kitu wakufanyie veta, vijana wa Tanzania nani katuloga, kwan huko mashulen mnakolipa milioni mbona mnaondoka na vyeti tu, tafuta taarifa mwenyewe ndio
 
Kama hamna taarifa sahihi kuhusu vifaa basi hamjamsaidia mtu, mnachotaka ni kukusanya hela za watu wakishamaliza course hawajui waanzie wapi, na wengine watatoa hiyo laki 1 baada ya kumaliza mafunzo anakuja kubaini mashine ni 1 million ambayo pia hana na laki 1 yake ishaliwa anabaki na vyeti kabatini.


Ushauri: Tafuteni taarifa sahihi za mashine na bei zake na mpate dealers ambao mtajenga connection ya kununua bei affordable ili muhitimu ajue akitoka point anaenda point B.

Sio mnamaliza mafunzo mnampa muhitimu hard release itakua ni matatizo yale yale.

VETA ni taasisi kubwa, ongeeni na SIDO, ongeeni na wadau na wafanya biashara wakubwa mliweke hilo sawa.
Ukienda Kijifunza Udereva VETA baada ya kozi unapewa gari?!

Umeambiwa ni ujuzi sio ajira... kama unatamani kupata ujuzi kwenye T-Shirt Printing umeshatatuliwa tatizo la ujuzi kuhusu mashine au requirements nyingine ni ww kujiongeza
 
Usipende kutafuniwa uje kumeza tu ww unashindwa kufuatilia kwanza ndio ukasome kila kitu wakufanyie veta, vijana wa Tanzania nani katuloga, kwan huko mashulen mnakolipa milioni mbona mnaondoka na vyeti tu, tafuta taarifa mwenyewe ndio
Umesikia nataka kwenda kusoma mimi?

Nimemshauri mleta mada aweke na taarifa za vifaa vinavyofundishiwa kwenye hiyo short course ili kusaidia wahitimu wapate taarifa sahihi.

Hiyo itanogesha mafunzo maana mtu anakua anajua kila kitu kitakachohitajika baada ya mafunzo ili sasa aanze kazi ya kujiajiri rasmi.
 
Acha kudandia magari wewe.

Umesikia nataka kwenda kusoma mimi?

Nimemshauri mleta mada aweke na taarifa za vifaa vinavyofundishiwa kwenye hiyo short course ili kusaidia wahitimu wapate taarifa sahihi.

Hiyo itanogesha mafunzo maana mtu anakua anajua kila kitu kitakachohitajika baada ya mafunzo ili sasa aanze kazi ya kujiajiri rasmi.

Mtu akitaka kusoma afuatilie mwenyewe vifaa mbona mitandaoni vipo vingi only that unaweza kuanza hata na screen ya kutengeneza mwenyewe, sio chuo kikufatilie ww
 
Back
Top Bottom