Ufundi wa mapenzi hauna mchango kwenye kuimarisha ndoa

Ufundi wa mapenzi hauna mchango kwenye kuimarisha ndoa

Bujibuji Simba Nyamaume

Platinum Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
78,435
Reaction score
166,891
Kukatika Sana kitandani au kulala Kama gogo hakuna mchango wowote Kwenye kuimarisha ndoa yako. Kinacho dumisha ndoa ni masikilizano,

maelewano, kuthaminiana, kuaminiana na kuvumiliana. Kama kukatika Sana kungekuwa ni msingi wa ndoa imara, basi ndoa za Wamakonde ambao ndio machampion wa nyonga,

wanaosomea na kufundishana kukatika na kufanya matusi tangu utotoni, ndoa zingekuwa imara kuliko za Wachagga ambao wanatajwa Kuwa ndio mabingwa wa kulala Kama magogo ya mikambokambo.
 
Mleta mada hujawahi kukutana na mafundi. Unachezeshwa TOTAL FOOTBALL yaani team inakaba na kushambulia kwa pamoja. Lazima utangaze ndoa
 
hapo kwenye mikambokambo umenikumbusha mbali sanaa
 
Huo utafiti uliufanya lini na wapi? Ukubwa wa sample yako ni upi?

 
Last edited by a moderator:
Ndibalema mkosaji gani unayemuongelea?

Mkosaji ninayemwongelea hapa ni yule anayeamini ulichosema. Officialy(ili kuiridhish jamii) I agree with you lakini kiukweli uwajibiikaji kitandani kunamata sana na ni sababu moja wapo kubwa inayosababisha wanaume wengi kuwa na michepuko.

na michepuko inpogundua udhaifu huo ndio inazidisha mbwembwe kunako 6 kwa 6. Mkuu tuache unafki.
 
Mleta mada hujawahi kukutana na mafundi.
Unachezeshwa TOTAL FOOTBALL yaani team inakaba na kushambulia kwa pamoja.
Lazima utangaze ndoa

Hiyo ndoa itadumu kwa muda gani?? Unaweza kutangaza ndoa katikati ya rigwaride mura... na baada ya rigwaride ukaghairi
 
Kuna tofauti ya ndoa kudumu na hiyo ndoa kuwa imara. Ndoa iliyo imara lazima kuridhishana kuwepo. sasa inategemea upande wa pili yeye anaridhishwa na nini, kama mauno ni sehemu ya kile kinachomridhisha then hata mwanamke angekuwa mvumilivu,mwaminifu au hata anayemthamini mumewe,kama mumewe hatapata lile moja linalomridhisha atalitafuta.

swali linabaki atalitafuta na kuendelea kulinda ndoa na familia yake au ataacha familia na kwenda kwa yule anayekidhi hitaji lake la kuridhishwa na mauno? wanaume wengi wao huamua kuwa na vimada lakini wakidumisha ndoa zao.

Nakubaliana na wewe kuwa mauno tu sio sababu ya ndoa kudumu ila ni sehemu kwa wale ambao mauno yana nafasi kwao kwa ndoa kudumu na kuwa imara.
 
wachaga wa town wanajua mkuu ila sio sana! hawana hamshahamsha! kama kule pwani
 
Usifanye mambo kama Sheikh Yahya banaaa!!!! Huwezi ukatoa hitimisho la jambo lolote lile bila kuwa kuwa na facts za kuonyesha hilo hitimisho lako umelifikiaje.

Haya ni Kama mahubiri, unameza tu hamna kuuliza maswali
 
Back
Top Bottom