Governor of Bettors-GB
JF-Expert Member
- Jul 14, 2013
- 9,872
- 8,894
Ila yote kwa yote
Singida ni mji mzuri sana aisee kwa kuishi,na life span ya wanasingida ipo juu sana.wazee wengi ila wananguvu bado na wanajituma sana.
fursa za pesa ndio tatizo,inabidi wengi wafanye biashara za kutoka,lakini kwa vile kuna plan ya kuufanya iwe miongoni mwa mikoa ya kati yenye kuungwa na Dodoma,hope itakuja ku pick vizuri sana.
Singida ni mji mzuri sana aisee kwa kuishi,na life span ya wanasingida ipo juu sana.wazee wengi ila wananguvu bado na wanajituma sana.
fursa za pesa ndio tatizo,inabidi wengi wafanye biashara za kutoka,lakini kwa vile kuna plan ya kuufanya iwe miongoni mwa mikoa ya kati yenye kuungwa na Dodoma,hope itakuja ku pick vizuri sana.