Ufukwe wa ziwa Kindai Singida kuwa kitovu cha hoteli za kitalii baada ya serikali kuhamia Dodoma

Mr Emmy

JF-Expert Member
Mar 12, 2012
1,219
550
Kwa wale wawekezaji wa Hoteli za Kitalii wanapaswa kutumia fursa ya serikali kuhamia dodoma kwa kuwekeza hoteli za kisasa katika ufukwe wa ziwa Kindai ambao kwa sasa bado hakuna muwekezaji aliyewekeza hata kijumba kimoja cha hoteli. Ufukwe bado upo virgin kabisa umezungwa na pori na miti na maeneo ya ufukwe yakishikiliwa na wenyeji tu ambao hawana ndoto ya kuwekeza katika hoteli.

Ziwa la KINDAI singida ni ziwa ambalo lipo natural halitegemei mvua kama lilivyo ziwa Singidani ambalo hukauka kila ifikapo kiangazi. Kindai ni kama bahari ya Hindi maji hayapungui kamwe.

Tumia fursa ya kuhamia Dodoma kwa kupata hotel plots katika ufukwe wa Ziwa Kindai na kuwekeza hotel industries ambazo zitatumiwa na wafanyakazi wakimataifa kutoka dom kupumzika wkeends katika mji wa Singida
 
Waambie kuhusu afya tayari Kuna Hospiali ya Rufaa ya ambayo ina hadhi kubwa sana na Bado ujenzi unaendelea, Future ni kuwa Chuo kikuu cha Tiba. Ipo Njia kuelekea Sepuka. Karibuni kwa uwekezaji.
 
Matunda ya asili mengiiiiiii kama matogo,furu,sasati.Kila ki2 kipo kiasili hadi m2kuru hahahaaaaaa
 
Kwa wale wawekezaji wa Hoteli za Kitalii wanapaswa kutumia fursa ya serikali kuhamia dodoma kwa kuwekeza hoteli za kisasa katika ufukwe wa ziwa Kindai ambao kwa sasa bado hakuna muwekezaji aliyewekeza hata kijumba kimoja cha hoteli. Ufukwe bado upo virgin kabisa umezungwa na pori na miti na maeneo ya ufukwe yakishikiliwa na wenyeji tu ambao hawana ndoto ya kuwekeza katika hoteli.

Ziwa la KINDAI singida ni ziwa ambalo lipo natural halitegemei mvua kama lilivyo ziwa Singidani ambalo hukauka kila ifikapo kiangazi. Kindai ni kama bahari ya Hindi maji hayapungui kamwe.

Tumia fursa ya kuhamia Dodoma kwa kupata hotel plots katika ufukwe wa Ziwa Kindai na kuwekeza hotel industries ambazo zitatumiwa na wafanyakazi wakimataifa kutoka dom kupumzika wkeends katika mji wa Singida
Tundu Lissu alikataa kuchangia shughuli yoyote ya maendeleo kwa kujitolea.
 
Kuna watu humu wao hawapendi sgd kupata frusa yeyote ya uchumi.Yaan wanapenda sana habari za ajali sgd na Migogoro ya Tundu Lissu.
 
Hivyo mtoa mada tegemea kejeli za kutosha kwa hawa wasomi uchwara,waliokaririshwa kuwa sgd ni sehemu kame na isiyofaa kwa lolote.
 
Tanzania ni yetu sote,kila mzalendo anawajibika kuijenga,lakini kuna kizazi cha nyoka kisichotaka mafanikio ya wengine.Kinatusumbua sana.
 
Back
Top Bottom