Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,871
- 155,840
Umefugia wapi?
FaizaFoxyMUULIZE FAIZA FOXY ATAKUPATIA INFORMATIONS
PoaMfugaji wangu, naomba unitumie hizo picha kwenye email yangu maana nami nimeanza mdogomdogo ufugaji nguruwe.Hizo picha zitanifundisha kitu. Naisumollel@gmail.com
MaranguUmefugia wapi?
Marangu mkuuKITU HOT-CAKE NAMNA HII UNAHANGAIKA SOKO?...
Kilimanjaro eneo gani?
Habari za saa hizi wana jamii forum,mimi ni mfugaji wa nguruwe ninao kumi na tatu (13) nataka niwauze mwezi wa tatu,kwa sababu watakua na afya nzuri kipindi hicho kwa ajili ya kuchinjwa na kuliwa,napatikana mkoa wa Kilimanjaro,kwa sasa bado sijajua zaidi kuhusu soko(sina mteja maalum) ningependa mnijuze waungwana wenzangu.
Namba zangu za sim ni 0762283253
Email:kennedyshirima09@gmail.com
Asanteni sana.
Baadhi ya picha
Sema MkuuAstaghfirullah
***Marangu mkuu
Peleka mnadani Moshi mjini.Marangu
Samahani picha zimekwama kujiweka.
Wenge tu na wewe....hujalazimishwa kukoment.....Afadhali picha zimegoma
Astaghfirullah
teh teh teh aise JF ina vitimbi vingi sana duuuuAfadhali picha zimegoma
Asante sana***
Nakuunganisha ...
Watakua na miezi mitano (5) hadi miezi sita (6),wakifika mwezi wa tatu mwaka huu,ndipo nitakapo wauza Mkuu.hao nguruwe wako wana umri gani tokea wakiwa wadogo mpaka walipofikia kutaka kuuzwa
Hivi Moshi mjini kuna mnada wa nguruwe?Peleka mnadani Moshi mjini.
Nguruwe 13 ku peleka DSM ni kutafuta hasara kwa UDI na uvumba. Labda mjikusanye wafugaji wengi, mkodi gari moja kupunguza ukali wa gharama