Ufugaji wa Nguruwe: Fahamu faida, hasara na mbinu bora za ufugaji

Naomba kusaidiwa mwongozo nataka kufuga nguruwe. Nipo dar mradi nitafanyia boko nimebakisha laki tano tu, banda nimeshajenga. Nimesoma threads za nyuma sijapata mwongozo. Asanteni sana.
 
Dah hauko serious, ila fuga tu, anza na hamsini na sehemu nzuri ni Goba. Asante
 
Huu mradi huwa nafarijika sana nikisoma mada za humu ndani, Mimi ni mfugaji maarufu wa hawa viumbe(Avatar yangu inathibitisha) Tatizo langu kubwa ni namna ya kupunguza gharama za chakula kwani hivi viumbe vinakula sana. Na tatizo la pili ni vitoto kufa hasa wakiwa na miezi minne hadi tano.
Mkuu Ramea watoto wa nguruwe wanapozaliwa wanakuwa na upungufu wa madini ya chuma, pia mwili wake unakuwa na uwezo mdogo sana wa kuzalisha damu ya kutosha, hivyo inashauriwa siku ya tatu baada ya kuzaliwa watoto wa nguruwe wachomwe sindano ya dawa yenye madini ya chuma, pia unatakiwa uwakinge na baridi maana kipindi hicho ngozi yao inakuwa haijawa na mafuta na manyoya ya kutosha.
 
Vyakula vya nguruwe vinavyotakiwa kuchemshwa ni mabaki ya vyakula vilivyopikwa au maganda ya viazi au na mabaki mengine ya mboga mboga na kadhalika kwani vyakula hivi huwa na kiasi kikubwa cha contamination ya bacteria na wadudu wengine kwenye athari katika mfugo huu ... Vyakula vya kuchanganya kama pumba, mashudu alizeti/pamba, soya meal, mifupa, chumvi pig mix na hata majani mabichi fresh haviitaji kuchemshwa
Sorry unamaanisha mabaki ya chakula yapikwe kwanza ndo wapewe? Sijakuelewa
 
rosita karibu ujipatie drinker kwaajili ya ufugaji wa nguruwe wako ni imara na za kisasa, tunapatikana Dar. Namba ya simu ni 0625 504
952
 
Nataka huo mfumo kwa kuku nitapata wapi mabanda ya kufugia kuku ambayo kuku anaishi bila kinyesi wala kumwaga chakula na pia mayai hayavunjiki wala kuliwa na kuku?
 
bcfd3ec6aa430758e51a6a28d3e8b052.jpg
so delicious!
 
Wakuu nimejengaa banda tayari nataka nianze na vitoto mwenye navyo anipe bei kwa kila kimoja mi nipo dar
 
Hongera sana mkuu, sasa hakikisha kuwa haufugi kama alivyokuwa akifuga mzee wako. Wewe fuga kisasa mpaka mzee wako ajisikie raha kukupeleka shule. Unaweza kufunga drinkers za kisasa ili kurahisisha ufugaji wako wa nguruwe na kuwafanya wawe na afya bora, tunapatikana Dar lakini kama upo mkoani tutakuagizia kwa gharama zetu. Piga simu namba: 0625504952

KARIBU SASA NA UFURAHIE UFUGAJI WA KISASA
Umelipa ada ya tangazo kwanza?
 
Back
Top Bottom