munroe
Senior Member
- Apr 3, 2019
- 101
- 68
Ng'ombe wa maziwa ni miongini mwa miradi bora saana ambayo ikisimamiwa na kuendeshwa kisasa inatija kubwa na inaweza kukunufaisha na kukukwamua kiuchumi.
Njoo tukuuzie ng'ombe bora wanastahimili mazingira tofauti kwa mikoa yote Tanzania bila kuteteleka kiafya na kiuzalishaji
Njoo ujifunze na ujue namna gani ya kuanza au kuendelea shamba la ng'ombe wa maziwa kiutaalam
Tunao ng'ombe bora aina ya (Holstein, American ) freisian, aryshire, redpoll, semmental, jersey, brown swiss etc.
Aina izo wapo pure breed na cross breed wazuri wenye izarishaji usio na mashaka
Karibu tupo RUNGWE MKOANI MBEYA barabara inayoelekea malawi kilomita 70 toka Mbeya mjini.
Tutafute kwa namba 0756416149
namba hiyo pia ipo WhatsApp kama utahitaji picha na video za ng'ombe tulionao.
Njoo tukuuzie ng'ombe bora wanastahimili mazingira tofauti kwa mikoa yote Tanzania bila kuteteleka kiafya na kiuzalishaji
Njoo ujifunze na ujue namna gani ya kuanza au kuendelea shamba la ng'ombe wa maziwa kiutaalam
Tunao ng'ombe bora aina ya (Holstein, American ) freisian, aryshire, redpoll, semmental, jersey, brown swiss etc.
Aina izo wapo pure breed na cross breed wazuri wenye izarishaji usio na mashaka
Karibu tupo RUNGWE MKOANI MBEYA barabara inayoelekea malawi kilomita 70 toka Mbeya mjini.
Tutafute kwa namba 0756416149
namba hiyo pia ipo WhatsApp kama utahitaji picha na video za ng'ombe tulionao.