Ufugaji wa mbwa na chakula chake

Habarini za kutwa ndugu nawasalimuni kwa jina la Mungu naomba nitolee jibu la hiyo shida aliyoipata mfugaji mwenzetu.
1, Kwanza ningemshauri aite vet kumwangalia huyo mbwa wake ajue tatizo ni nini.
2, ulishwaji wa mbwa chukuwa nyama ichemshe halafu changanya na chenga za mchele zile wanazo pikia vitumbuwa Mbezi pale tuna nunu kg1 sh 650 mpaka700.
3, uwapatie Mbwa wako dawa za minyoo vidonge ni ZAROKRIM. Sindano ni INVOMEC ENJICTION.
4,Muoshe vyema na usafishe sehemu anayo lala vizuri na kumtolea kinyesi ktk banda lake kila mara.
5, Mpatie vidnge vya PET-FORCE kimoja kila siku baada ya siku 14 atakuwa sawa.
Minyoo huwa ni ugonjwa unasumbuwa sana Mbwa hasa hizi mbegu ambazo sio za asili.
Karibu sana kwa swali lolote.
 
Mbwa wakufungiwa ndani na kutayarishiwa chakula kwakweli anahitaji usafi na uangalizi, na kikubwa kujua mpangilio wa chanjo, ulishwaji,usafi wa mabadna, dawa za kuwaogeshea na mabanda yaliyo na hewa ya kutosha na mwanga wakutosha.
Mfano kipindi hiki cha jua kali Mbwa wanapata tabu sana inapsahwa kuwapatia maji ya kutosha kila mara hasa GSDna BBL.
 
Habarini za kutwa ndugu nawasalimuni kwa jina la Mungu naomba nitolee jibu la hiyo shida aliyoipata mfugaji mwenzetu.
1, Kwanza ningemshauri aite vet kumwangalia huyo mbwa wake ajue tatizo ni nini.
2, ulishwaji wa mbwa chukuwa nyama ichemshe halafu changanya na chenga za mchele zile wanazo pikia vitumbuwa Mbezi pale tuna nunu kg1 sh 650 mpaka700.
3, uwapatie Mbwa wako dawa za minyoo vidonge ni ZAROKRIM. Sindano ni INVOMEC ENJICTION.
4,Muoshe vyema na usafishe sehemu anayo lala vizuri na kumtolea kinyesi ktk banda lake kila mara.
5, Mpatie vidnge vya PET-FORCE kimoja kila siku baada ya siku 14 atakuwa sawa.
Minyoo huwa ni ugonjwa unasumbuwa sana Mbwa hasa hizi mbegu ambazo sio za asili.
Karibu sana kwa swali lolote.
Nashukuru umenishauri kitabibu zaidi. Mm nipo dsm uwanda wa chamaz
 
Germany Shepherd
Hawa jamaa minyoo na kupe kwao ni janga kubwa sana niliwahi poteza 2 kwa minyoo. Nakushauri anza kutibu minyoo kwanza halafu waogeshe kwa sabuni na maji kawaida ukimaliza mwoshe na shampoo kwa wiki mwoshe mara 2 baada ya hapo utaona mabadiliko makubwa.
 
Hatua nilzoanza kuchukua
20211116_213831.jpg
 
Back
Top Bottom