I ILLUNGU Member Joined Oct 12, 2015 Posts 35 Reaction score 7 Oct 14, 2015 #1 Wana JF, naomba mnijulishe ni wapi nitapata kuku wa kienyeji aina ya kuchi maana nasikia kuwa kuku mmoja ana nyama kati ya kilo 4 mpaka 8
Wana JF, naomba mnijulishe ni wapi nitapata kuku wa kienyeji aina ya kuchi maana nasikia kuwa kuku mmoja ana nyama kati ya kilo 4 mpaka 8
poorbillionaire JF-Expert Member Joined Mar 4, 2014 Posts 424 Reaction score 241 Oct 16, 2015 #2 Eti eeh!!
I ILLUNGU Member Joined Oct 12, 2015 Posts 35 Reaction score 7 Nov 25, 2015 Thread starter #3 JAMANI NAOMBA MNIJUZE KUHUSU KUKU AINA YA KUCHI ili nijue bei na pa kuwapata. Je wana sifa gani tofauti na kuku wengine?
JAMANI NAOMBA MNIJUZE KUHUSU KUKU AINA YA KUCHI ili nijue bei na pa kuwapata. Je wana sifa gani tofauti na kuku wengine?
azzurre Senior Member Joined Apr 14, 2013 Posts 107 Reaction score 96 Nov 29, 2015 #4 Ni PM ninao kuku kuchi wazuri, nipo zanzibar
Bill JF-Expert Member Joined Oct 5, 2007 Posts 10,703 Reaction score 11,812 Nov 29, 2015 #5 Kilo nane, mhhh ndoto za alinacha