Mhdiwani
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 650
- 712
- Thread starter
- #21
Samaki wanapokua wadogo kunachakula Cha unga wanatumia kwa miezi 3 ambayo ni mifuko 2 baada ya happo Kuna chakula hicho nilichopiga picha hapo Kama vipunje (pillets) hicho Sasa ndo wanatumia kuanzia hio 3 mpk 6 lkn Kuna chakula Cha asili ambacho tunqwashauri wateja wetu wakitumie sio gharamasawa,kwa hyo unamaanisha chakula cha laki 6 kinatosha kwa miezi yote 6?