sega la nyuki
Member
- Apr 23, 2022
- 8
- 2
Namkaribisha Sana kwenye tasnia
Bado mnaendelea kutoa mafunzo?Naomba nikutoe hofu,
Gharama zetu za mafunzo ni rahisi kabisa.
Utapewa Mafunzo kwa vitendo, chakula, cheti, Kitabu kwa bei kati ya 50,000/= - 75,000/= kulingana na muda.
Kumbuka sisi ni Shirika lisilo la faida, hivyo lengo letu mi kusaidia jamii.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii bado ipo?Pole sana kwa kuchelewa kujibu;
Mizinga yetu inakufikia hapo ulipo.
Aidha kama Tenda ni kubwa, tutaandaa vifaa vyote na kuja kuvionganishia hapo site kwako.
Kuna huduma ya Starter Kit kwa Wafugaji wapya;
Kwa huduma hii utalipia 3.5M.
Utapewa;
- Mizinga 10 ya kisasa iliyo na nyuki.
- Mavazi pair 2 yaliyo kamili kwanzia juu hadi chini.
- Vifaa vyote vya kulinia asali; brush, folk and hive tools.
- Bomba la moshi (Smoker)
- Tutakupatia Mtaalamu wa kuusimamia mradi wako kwa mwezi mmoja akikupatia mafunzo.
- Vifaa vya kuhifadhi asali
- Package za asali.
Na ushauri na saha.
Pia, tutakupatia soko la asali.
Sent using Jamii Forums mobile app