Rafiki Asali
Member
- Jan 4, 2019
- 28
- 8
Asante kwa kuwasilisha, kazi zote ulizozitaja apo juu zinaweza kufanyika kama zitaweza kuzingatiwa. Wasiliana nasi kwa namba 0758789956Wakuu,
Ningependa kufahamu yafuatayo,
1. Je! ni kweli upo utaalamu wa kuzalisha makundi ya nyuki na kuwahamishia kwenye mizinga?
2. Zoezi hilo huchukua muda gani hadi kuzalisha malikia mpya na kundi jipya?
3. Humu yupo mtu anayefanya hiyo kazi anayeweza kutoa ushuhuda au kuonesha practice?
3. Mfumo huo una ufanisi kiasi gani na changamoto zinazotegemewa ni zipi?
nawasilisha.
Inawezekana. Nakushauri uonane na wataalamu wa misitu wanaodeal na mazao ya misitu kama asali, watakuoa guidance.....Dah, mkuu shukurani sana. Hii ndio nguvu ya JF. hii inaweza kujibu maswali mengi sana.
Vipi kuhusu kupata makundi mapya ya nyuki? kuna watu wanaweza kuzalisha makundi kweli na ku supply kwa wengine au story, maana kuna kipindi kuna jamaa alisema anazalisha lakini lilivyomtafuta akaonekana kama ana story nyingi kuliko matokeo.
Hilo linawezakana kweli?
Tuilishawavutia tukawapata wengi tu ila ndio wamekufa kama unavyoona hapo juuInawezekana. Nakushauri uonane na wataalamu wa misitu wanaodeal na mazao ya misitu kama asali, watakuoa guidance.....
Ila inawezekana kuwavutia nyuki katika mzinga ili waanzishe koloni lao....
Sent using Jamii Forums mobile app
Sababu ya nyuki kufa katika mizinga yako inaweza changiwa na sababu mbalimbaliSalama wakuu,
Nimekuwa nikikabiliwa na changamoto ya nyuki kufa kwenye mizinga kwa sababu ambazo sijazielewa mpaka sasa.
Kwa wazoefu wa nyuki, ni mambo gani hasa yanaweza kupelekea nyuki kufa?
View attachment 1286616
Kazi ngumu da watu na gani zaomalikia akishazalishwa anapelekwa kwenye mzinga wenye nyuki wadogo,wakubwa huwa tifu kumkubali malkia ,na kuna utaratibu wa kumuweka mpaka akubalike vinginevyo atauwawa na nyuki ,unapomuweka kwenye mzinga lazima usome saikologia ya nyuki ,unamuweka kwenye cage maalumu yenye wavu,kisha unaitia ndani ya mzinga,ukiona nyuki wamekuwa na vurugu na wanamzonga kwenye cage ujue kimenuka mtoe hawajamkubali,utaendelea na zoezi hili mpaka nyuki wa react passive,itakupasa kumpakaa malkia asali kutoka kwenye mzinga unaotaka kumuweka ili akubalike kirahisi pale nyuki wanapomkataa,mizinga inapaswa iwekaribu na unapoishi
LovelyTumewai fanya hii ya kuzalisha makundi ya nyuki na pia uzalishaji wa malkia wa nyuki...Ni raisi Tena Sana Kama una vifaa.
Nyuki wanamtengeneza malkia wenyewe na wanaweza tengeneza ata malkia 100 kwenye mzinga mmoja! Kuna vifaa maalumu kwa kazi hii,sisi tuliagiza China kupitia alibaba.kuna Queen cells (za plastic) ambazo unaweka katika mzinga na unachukua mayai alaiyotaga malikia wa nyuki na kuyaweka katika hizi Queen cells.nyuki watazitunza hizi Queen cell zenye mayai kwa kulisha chakula special Cha malkia wa nyuki kinachoitwa queen jerry.nyuki wakiona queen cells wao wanalisha chakula Cha kuzalisha malkia aijalishi idadi ya queen cells katika mzinga.unaweza zalisha ata queens 300 au zaidi kwa Mara moja toka mzinga mmoja...ila queen 2 awawezi kaa katika mzinga mmoja...nyuki upiganisha malkia mpaka mmoja afe mmoja abakie....so kabla malkia awatotolewa inabidi uhamishe hizo queen cells...iwapo Kama unataka kufanya hili zoezi tuwasiliane..na few queen cells za plastics so unaweza jaribu...mwakani 2020 nna mpango wa kuanzisha project ya mizinga 10.000 Morogoro tunajenga queen realing lab ndani ya viwanja vya nane nane...wameshatupatia eneo pale na tulishalipa fees zao.
Cell ya kuzalisha malikia huwa inaangalia chini tufauti na za kuzalisha nyuki wa kawaida..nimeweka picha hapa ili uweze tambua queen cellzView attachment 1287038View attachment 1287038
Kiongozi naomba mawasiliano yakoTumewai fanya hii ya kuzalisha makundi ya nyuki na pia uzalishaji wa malkia wa nyuki...Ni raisi Tena Sana Kama una vifaa.
Nyuki wanamtengeneza malkia wenyewe na wanaweza tengeneza ata malkia 100 kwenye mzinga mmoja! Kuna vifaa maalumu kwa kazi hii,sisi tuliagiza China kupitia alibaba.kuna Queen cells (za plastic) ambazo unaweka katika mzinga na unachukua mayai alaiyotaga malikia wa nyuki na kuyaweka katika hizi Queen cells.nyuki watazitunza hizi Queen cell zenye mayai kwa kulisha chakula special Cha malkia wa nyuki kinachoitwa queen jerry.nyuki wakiona queen cells wao wanalisha chakula Cha kuzalisha malkia aijalishi idadi ya queen cells katika mzinga.unaweza zalisha ata queens 300 au zaidi kwa Mara moja toka mzinga mmoja...ila queen 2 awawezi kaa katika mzinga mmoja...nyuki upiganisha malkia mpaka mmoja afe mmoja abakie....so kabla malkia awatotolewa inabidi uhamishe hizo queen cells...iwapo Kama unataka kufanya hili zoezi tuwasiliane..na few queen cells za plastics so unaweza jaribu...mwakani 2020 nna mpango wa kuanzisha project ya mizinga 10.000 Morogoro tunajenga queen realing lab ndani ya viwanja vya nane nane...wameshatupatia eneo pale na tulishalipa fees zao.
Cell ya kuzalisha malikia huwa inaangalia chini tufauti na za kuzalisha nyuki wa kawaida..nimeweka picha hapa ili uweze tambua queen cellzView attachment 1287038View attachment 1287038
kiongozi upo vizuri.... mwaka huu nimeanza mradi wa Nyuki nimeweka mizinga 30 lakini nimetundika tuu kienyeji Nyuki waje wenyewe zishapita wiki tatu tunasubiria tuu. Niliambiwa rahisi kumbe kuna mambo mengi piya....Tumewai fanya hii ya kuzalisha makundi ya nyuki na pia uzalishaji wa malkia wa nyuki...Ni raisi Tena Sana Kama una vifaa.
Nyuki wanamtengeneza malkia wenyewe na wanaweza tengeneza ata malkia 100 kwenye mzinga mmoja! Kuna vifaa maalumu kwa kazi hii,sisi tuliagiza China kupitia alibaba.kuna Queen cells (za plastic) ambazo unaweka katika mzinga na unachukua mayai alaiyotaga malikia wa nyuki na kuyaweka katika hizi Queen cells.nyuki watazitunza hizi Queen cell zenye mayai kwa kulisha chakula special Cha malkia wa nyuki kinachoitwa queen jerry.nyuki wakiona queen cells wao wanalisha chakula Cha kuzalisha malkia aijalishi idadi ya queen cells katika mzinga.unaweza zalisha ata queens 300 au zaidi kwa Mara moja toka mzinga mmoja...ila queen 2 awawezi kaa katika mzinga mmoja...nyuki upiganisha malkia mpaka mmoja afe mmoja abakie....so kabla malkia awatotolewa inabidi uhamishe hizo queen cells...iwapo Kama unataka kufanya hili zoezi tuwasiliane..na few queen cells za plastics so unaweza jaribu...mwakani 2020 nna mpango wa kuanzisha project ya mizinga 10.000 Morogoro tunajenga queen realing lab ndani ya viwanja vya nane nane...wameshatupatia eneo pale na tulishalipa fees zao.
Cell ya kuzalisha malikia huwa inaangalia chini tufauti na za kuzalisha nyuki wa kawaida..nimeweka picha hapa ili uweze tambua queen cellzView attachment 1287038View attachment 1287038
Mkoa gani mkuu?kiongozi upo vizuri.... mwaka huu nimeanza mradi wa Nyuki nimeweka mizinga 30 lakini nimetundika tuu kienyeji Nyuki waje wenyewe zishapita wiki tatu tunasubiria tuu. Niliambiwa rahisi kumbe kuna mambo mengi piya....
Uko mkoa gani na unataka kufugia wapi?Mtu mwenye uzoefu wa kufuga nyuki Malvina asali tafadhali tujuzane Nikitaka kuanza Walau na mizinga 10, nitavuna kiasi gani cha asali, pia naomba nipate uzoefu namna ya kuwashawishi nyuki kuingia Kwenye mizinga haraka
Sent using Jamii Forums mobile app
Nipo Iringa nataka kufugia juu ya miti ya asili jiran manikins shekhUko mkoa gani na unataka kufugia wapi?
Eneo lipo jirani na mlima nataka nifugie juu ya miti ya asili jirani na mlima, kwani kuna aina gani za mizinga unazo zifahamu kiongozi?Aina ya mzinga, eneo la ufugaji ndizo determinant za asali kiwango gani pia nyuki kuvutiwa na mazingira fulani
Wewe kama unaanza kufuga anza tu, tafuta mizinga ya kisasa weka shamba, hakikisha unaifungua na kusafisha wadudu kila mwezi, angalia YouTube kupata ujuzi zaidi.Nipo Iringa nataka kufugia juu ya miti ya asili jiran manikins shekh
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe kama unaanza kufuga anza tu, tafuta mizinga ya kisasa weka shamba, hakikisha unaifungua na kusafisha wadudu kila mwezi, angalia youtube kupata ujuzi zaidi
Ilikua ni sh ngapGharama ni manunuzi ya mizinga na mazingira yenye usalama. Kuna siku niliona mizinga ya kisasa kabisa pale Njiro Arusha.
Kwa kweli iko vizuri kabisa ambayo unaweza ukaiweka porini nyuki wakiingia unafunga na kupeleka kwenye maeneo unayotaka. Tatizo bei yake sasa.