Fuga mbuzi wa kienyeji wa kwetu ambao wanaendana na mazingira yetu.
..tatizo la mbuzi wa kienyeji ni udumavu.
Fuga mbuzi wa kienyeji wa kwetu ambao wanaendana na mazingira yetu.
..kuna wanaoshauri beberu wa Boer umpandishe kwa majike wa Gala.
..kila mzao utakuwa unaupandisha na beberu wa boer mpaka kupata pure breed.
..unachotakiwa kufanya ni kuhakikisha baba hawapandi wanawe.
NB:
..nitatafuta taarifa kama inaruhusiwa babu kuwapanda wajukuu.
Kwanini baba asipande watoto wake
..wafugaji wanasema beberu akipanda binti yake kutatokea kitu kinaitwa " inbreeding."
..nimeangalia kwenye mtandao madhara ya inbreeding ni kama yalivyoelezwa hapo chini.
The most obvious effects of inbreeding are poorer reproductive efficiency including higher mortality rates, lower growth rates and a higher frequency of hereditary abnormalities. This has been shown by numerous studies with cattle, horses, sheep, swine and laboratory animals.
Mbuzi single mother dili ila kwa dada zetu.....Si mbuzi wote watakaoo zaa mapacha hivyo kwenda na record vizuri tumia ratio ya 1.5 au 3 kwa Mwaka.
Niseme tu hii ni dhahabu iliyojificha ambayo wanaofanya hawawezi kukuambia hata kidogo.
Huu ndio mradi nilioamua kuufanya serious kwa Mwaka huu na tayari nimeshaanza. Karibu kwenye team.
Ushauri: ili upate matokeo ya haraka nunua mbuzi wakubwa ambao wamesha zaa japo mara moja
..nilivyoelewa ni hivi.Hii imatokea endapo kuna magonjwa ya kurithi katika huo uzao.
Je mtoto na mama ni ruksa kuzaana au dada na kaka katika hao mifugo?
Ni kati ya Mbuzi mzuri sana ktk ufugaji nakushauri wanunuwe uwafuge..uzoefu wako na mbuzi blended / malya anayezalishwa Taliri ukoje?
Unataka elimu gani ndugu tukusaidie ktk ufugaji wa Mbuzi?..nimezingatia kuhusu hiyo process ya vibali vya import na export ya mifugo.
..kwa Tanzania sijakutana na mfugaji aliyekuwa tayari kufunguka na kutoa elimu kama huyo jamaa wa Ghana.
..ukifanikisha hili suala utakuwa msaada mkubwa kama utaweza kuelekeza wenzako hatua ulizopitia.
Nazungumzia utafiti wa kujuwa mbegu unazotaka kufuga uzichaguwe vyema maana mwisho wa siku unaweza pewa Mbuzi mwonekano ni mzuri lakini kwenye uzalishaji ni majanga, tembeleeni shsmbani farm na Mavuno farm mtajifunza kitu, walioko Dar karibuni Nyumbani kwangu kibamba kwa mangi njootusome zaidi. Kufuga Mbegu yoyote ya kigeniinakupasa kutafuta abc zake ili ikusaidie kujua jinsi ya kuendesha huo mradi, Shamban farm na Mavuno na Mbogo watawasidia sana.
Asante kwa hayaNaomba niwasaideni kitu hapa kuagiza Mbuzi south Afrika hakuna urasimu wowowte mimi nazungumzia uzoefu na ninacho kifahamu, mwakajana mfugaji mwenzetu kaleta Red kalahar bila ya shaka na ktk umoja wetu wote walio agiza wamepata, shida ni moja kubwa hata kule south kunawapigaji sana. mnacho takiwa ni kufwata waagizaji wanaojuwa wazalishaji wa ukweli, hata ukienda uganda hata Mubende watakupiga tu ninaushahidi kwakweli. Mbogo Ranchese, Mavuno Farm, Biswalo, Usangu, ASAS. Hao ni waagizaji wa kweli na watakupatia kitu unacho hitaji, wakikuzulumu njoo Nyumbani kwangu nakulipa Mubende 1 bure kabisa.
Asante kwa elimu hii mkuu..kuna wanaoshauri beberu wa Boer umpandishe kwa majike wa Gala.
..kila mzao utakuwa unaupandisha na beberu wa boer mpaka kupata pure breed.
..unachotakiwa kufanya ni kuhakikisha baba hawapandi wanawe.
NB:
..nitatafuta taarifa kama inaruhusiwa babu kuwapanda wajukuu.
Huyo jamaa wa Ghana yuko vizuri sana..nimezingatia kuhusu hiyo process ya vibali vya import na export ya mifugo.
..kwa Tanzania sijakutana na mfugaji aliyekuwa tayari kufunguka na kutoa elimu kama huyo jamaa wa Ghana.
..ukifanikisha hili suala utakuwa msaada mkubwa kama utaweza kuelekeza wenzako hatua ulizopitia.
Sisi ni TAGOFA chama cha wafugaji Mbuzi Tz na mletaji ni mwanachama , Mbuzi waliletwa kwa njia ya bara bara na hata ASAS last week kaleta Ngombe kutoka south kwa njia ya bara bara. Msafirishaji anashughulikia vibali vyote wewe unapokea Mbuzi mwenye nyaraka kamili, nawaomba ruhusa niweke number zao humu mtaweza wasiliana nao moja kwa moja.Asante kwa haya
Je mlifanikiwa kuwaleta kwa njia gani ya ndege au kwa usafiri wa kawaida
Na je mlikuwa kama kikundi au na je vibali vinatokaje?
Wanaishi kabisa bila ya shaka naomba mtembelee Shamban farm Biswalo utaona na kujifunza kitu juu ya ufugaji wa hawa Mbuzi.Huyo jamaa wa Ghana yuko vizuri sana
Sasa mkuu kama nanunua hao Boer kama alivyosema yeye alijifunza na anajufinza mengi kama hali ya hewa kwa hao mbuzi
Sijui pia kwetu kama Bara wataishi vizuri haya ndio ya kuzingatia pia
Galla/isiolo huwa wanapatikana majike wakubwa amabao tayari kupandwa na kuzaa ni sh laki 2, madume ndio wana bei ni kuanzia laki 2 mpaka 5 inategemeana na ukubwa na umri wa Mbuzi, napo wakati wakununuwa unapashwa uangalie swala la umri ni muhimu sana hasa kwa Dume usije chukuwa mwenye umri mkubwa sana akashindwa kutumika vyema.Asante kwa elimu hii mkuu
Hao gala wanapatikana kwa bei gani?
Ntashukuru sana kwa namba zaoSisi ni TAGOFA chama cha wafugaji Mbuzi Tz na mletaji ni mwanachama , Mbuzi waliletwa kwa njia ya bara bara na hata ASAS last week kaleta Ngombe kutoka south kwa njia ya bara bara. Msafirishaji anashughulikia vibali vyote wewe unapokea Mbuzi mwenye nyaraka kamili, nawaomba ruhusa niweke number zao humu mtaweza wasiliana nao moja kwa moja.