mzurimie
JF-Expert Member
- Oct 16, 2011
- 6,143
- 3,624
Wadau nawasalimu, najua kuna topic nyingi za habari hii ya ufugaji kuku (kuzungu na kienyeji) ila nimeona niulize haya sababu ninataka anza ufugaji kuku huko mkoa wa Pwani. ila kwa kweli as ninataka anza sijaona sana kuongelewa juu ya mabanda na kuwa na taa bandani. natumaini point zangu nilizouliza humu zitawasaidia wengi kama mie.