Maoni,sina maoni. Inaelekea wale watu walifaulu kumbadili President. Kama ukigundua wamefanya mabadiliko au usipojua,it does not matter. Wanakwambia,if you have complaints,you must be ready for full scale war. Kulikuwa na incident in September 1977 ambayo inaitwa the Battle of The Harvest Moon. Ilikuwa space war ambapo satelaiti ya Kirusi Cosmos 594 iliangamiza Moon Base,kituo cha Kijeshi cha Wamarekani ambacho kiluwepo kwenye Mwezi,Copernicus Bay.
Kutokea hapo,Warusi wakawa masters of space. Sijui sasa hivi hali ya balance of power iko vipi kati ya America na Warusi,lakini wakati ule Warusi walikuwa undisputed leaders of the world,and it was all a secret to everyone in the world.
Ndiyo maana,Wamarekani baada ya kutua kwenye mwezi,mara mbili tatu,wakazuiwa kwenda kule tena. Ndiyo maana Red China ikaruhusiwa kuingia katika Security Council. Wamarekani walikuwa dhaifu,walikuwa wanahitaji Wachina to counter balance the power of Russia.
Jimmy Carter alikuwa anaumwa Cancer. He would have died anyway. Lakini ni makosa kumuua. He was shot between the eyes. Ni makosa mumuua. Many Presidents have died while they were in power. Lakini ndiyo matatizo ya hawa Freemasons and Illuminati people,they don't think stright,they are very satanic.