Ufisadi waivuruga ngome ya Dk. Slaa

Ufisadi waivuruga ngome ya Dk. Slaa

Siyo tu ajabu bali kinaweza kuwa kivutio cha kitalii. Maana watakavyo buruzwa nahisi wanaweza hata watembeza barabarani walimwonyesha kila mtu. Ukiandika bandiko lako jitahidi basi liwe linaelekea angalau Kuwait kweli ata kwa mbali.

Kwa post yako mkuu unawapa umaarufu zaidi ongera
 
Mada imekaa kishabiki, kwa nnavyowajua masisiemu kama yangekuwa ya kweli hayo, siku nyingi sana wangeshapaza sauti tena wakisimama milimani ili wasikike vizuri.
 
Watu wengi hawaipendi chadema kwa kuwa wanazidi kinyonga tabia.

1. Kudai kupambana na ufisadi lakini wanafanya kinyume chake.
ushahidi: halmashauri ya karatu imefanya ufisadi wa kutisha, wabunge akiwemo mwenyekiti wanachukua posho ambapo chama kiliazimia kuacha kuchukua posho ila kupunguza matumizi, kujikopesha fedha za chama ovyo, kiongozi kambi ya upinzani kwenda kisiri na kinyemela na kuchukua shangingi alilolikatia kabla.

2. Kusema hawawezi kuunda kambi ya upinzani na ccm B na kukataa ushauri wa spika halafu ghafla wameunda ukawa.

3 Kumbania David Kafulila na kudai afai kuwa kiongozi, ghafla tena wanamkubali kuwa waziri kivuli wa kambi rasmi ya upinzani.

Kukipa chama madaraka ambacho hakina msimamo kwa kile inachokisimamia ni hatari kubwa.
Leo wanasema hiki kesho wanageuka wanasema vingine.

CUF = waliberali, chama cha ushoga,CCM B
NCCR= pandikizi la ccm, collaborator wa Tiss, wasaliti
Leo Cuf,Nccr= makamanda, wapambanaji,ukawa.

SHAME!!!!!
 
watu wengi hawaipendi chadema kwa kuwa wanazidi kinyonga tabia. badala ya kuiita chadema tuiite chadomo party.
hatuwezi kuwa na chama ambacho kina double standards.
1. kudai kupambana na ufisadi lakini wanafanya kinyume chake.
ushahidi: halmashauri ya karatu imefanya ufisadi wa kutisha, wabunge akiwemo mwenyekiti wanachukua posho ambapo chama kiliazimia kuacha kuchukua posho ila kupunguza matumizi, kujikopesha fedha za chama ovyo, kiongozi kambi ya upinzani kwenda kisiri na kinyemela na kuchukua shangingi alilolikatia kabla.
2. kusema hawawezi kuunda kambi ya upinzani na ccm B na kukataa ushauri wa spika halafu ghafla wameunda ukawa.
3 kumbania David Kafulila na kudai afai kuwa kiongozi, ghafla tena wanamkubali kuwa waziri kivuli wa kambi rasmi ya upinzani.

kukipa chama madaraka ambacho hakina msimamo kwa kile inachokisimamia ni hatari kubwa.
Leo wanasema hiki kesho wanageuka wanasema vingine.
Cuf = waliberali, chama cha ushoga,CCM B
NCCR= pandikizi la ccm, collaborator wa Tiss, wasaliti
Leo Cuf,Nccr= makamanda, wapambanaji,ukawa.

SHAME!!!!!

aibu ni kipimo cha utu laiti ungekua na chembe ya aibu usingepoteza muda wako kuandika ujinga huu nakushauri kama shida yako ni kuandika humu jf uonekane andika mambo ya michezo,mahusiano na hata jokes vile maana kwenye siasa umepwaya sana kaka.
 
Nafikir umeliwa bila ya kuoga ndo maana nasikia harufu mbaya huku jf, umekurupuka kwa fumaniz la kutoka na mme wa mtu pole yako indelea kujidanganya na kujifariji, nafikir uliona kwenye chaguz ndogo za serikal za mitaa, saaa cjui Chadema inakufa au inakua, mtasubir sana Chadema kufa mlisema 2014 itakufa sasa imekufa?
Mnatapatapa kwa kujua otc Ukawa inachukua Nchi.
Bawacha mnamatusi kama nini du!
 
watu wengi hawaipendi chadema kwa kuwa wanazidi kinyonga tabia. badala ya kuiita chadema tuiite chadomo party.
hatuwezi kuwa na chama ambacho kina double standards.
1. kudai kupambana na ufisadi lakini wanafanya kinyume chake.
ushahidi: halmashauri ya karatu imefanya ufisadi wa kutisha, wabunge akiwemo mwenyekiti wanachukua posho ambapo chama kiliazimia kuacha kuchukua posho ila kupunguza matumizi, kujikopesha fedha za chama ovyo, kiongozi kambi ya upinzani kwenda kisiri na kinyemela na kuchukua shangingi alilolikatia kabla.
2. kusema hawawezi kuunda kambi ya upinzani na ccm B na kukataa ushauri wa spika halafu ghafla wameunda ukawa.
3 kumbania David Kafulila na kudai afai kuwa kiongozi, ghafla tena wanamkubali kuwa waziri kivuli wa kambi rasmi ya upinzani.

kukipa chama madaraka ambacho hakina msimamo kwa kile inachokisimamia ni hatari kubwa.
Leo wanasema hiki kesho wanageuka wanasema vingine.
Cuf = waliberali, chama cha ushoga,CCM B
NCCR= pandikizi la ccm, collaborator wa Tiss, wasaliti
Leo Cuf,Nccr= makamanda, wapambanaji,ukawa.

SHAME!!!!!

Njozi zako tu, wewe ukimwakilisha nani kama sio hewa ya moto! takwimu huna unajaza server bure na ngonjera, bora ungekuwa Mrisho Mpoto tungesema labda! Bs
 
Andaa mada mpya bwana, haya mambo mbona yameshajadilika sana humu?Unakurupuka na kujifanya umetupia thread kumbe expired, kajipange vizuri.
 
Kama maji vile
 

Attachments

  • 1432109942869.jpg
    1432109942869.jpg
    22.8 KB · Views: 205
Lakini chukueni dakika hta tatu kutafakari maneno ya Assadsyria3,ni kama kuna kaukweli ila kanaumiza sana!
 
hao 'wananchi' walikuambia lini kua hawaipendi CDM. uchaguzi wa s/mitaa na mikutano ya hadhara inasema tofauti na maoni yako. october lazima babilon ianguke hakuna dola au ufalme wa kidunia unao simama milele. jiandaeni kuwa wapinzani.
 
jilani= jirani. unataka kila MTU ajue we mzaramo uliekimbia shule

Ungekuwa na shule ya kutosha usingeandika ulichoandika...kwenye taaluma ya lugha kuna athali zitokanazo na asili ya mtu na lugha yake ya kwanza...

Hata kama atakuwa amekwenda shule, masalia yanakuwepo...kwenye jamii zetu za kibantu kuna jamii hazina R au L, S au Z, S au TH...

Kwa maana hiyo unapomrekebisha mtu epuka kukimbilia kwamba hakwenda shule...form 4 yako isikufanye ujione umemaliza shule...

Tafakari...
 
Ungekuwa na shule ya kutosha usingeandika ulichaindika...kwenye taaluma ya lugha kuna athali zitokanazo na asili ya mtu na lugha yake ya kwanza...

Hata kama atakuwa amekwenda shule, masalia yanakuwepo...kwenye jamii zetu za kibantu kuna jamii hazina R au L, S au Z, S au TH...

Kwa maana hiyo unapomrekebisha mtu epuka kukimbilia kwamba hakwenda shule...form 4 yako isikufanye ujione umemaliza shule...

Tafakari...

mkuu lipi hapo juu hujaelewa hizo ni facts tupu
 
Wewe simuyi yetu kweli umerogwa chadema mpango Wa shetani na ccm tuitaje? Chama hambacho Léo watu Wa hali ya chini inaongezeka zamani tulikuwa tunakutana Secondary Watoto wa maskini kwa matajiri na ndiyo Léo wengi wao ni mabos sasa hivi shule za matajiri kivyao na maskini kivyao sasa tunatengeneza Tafa gani!!! Hawa watasoma vizuri walimu wazuri vitabu usafiri kula vizuri na wakimaliza vyuo kazi Hawa wakayumba mtahani sasa unatarajia nini hapo badaye jana2 chuo wamecheleweshewa boom kizaza kimetokea sasa subi waongezeke mitahani ajira hakuna ndiyo utajuwa hicho chama chako cha CCM ndiyo mpango wa shetani
 
Watu wengi hawaipendi chadema kwa kuwa wanazidi kinyonga tabia. badala ya kuiita CHADEMA tuiite chadomo party.

Hatuwezi kuwa na chama ambacho kina double standards.

1. Kudai kupambana na ufisadi lakini wanafanya kinyume chake.
ushahidi: halmashauri ya karatu imefanya ufisadi wa kutisha, wabunge akiwemo mwenyekiti wanachukua posho ambapo chama kiliazimia kuacha kuchukua posho ila kupunguza matumizi, kujikopesha fedha za chama ovyo, kiongozi kambi ya upinzani kwenda kisiri na kinyemela na kuchukua shangingi alilolikatia kabla.

2. Kusema hawawezi kuunda kambi ya upinzani na ccm B na kukataa ushauri wa spika halafu ghafla wameunda ukawa.

3 Kumbania David Kafulila na kudai afai kuwa kiongozi, ghafla tena wanamkubali kuwa waziri kivuli wa kambi rasmi ya upinzani.

Kukipa chama madaraka ambacho hakina msimamo kwa kile inachokisimamia ni hatari kubwa.
Leo wanasema hiki kesho wanageuka wanasema vingine.

CUF = waliberali, chama cha ushoga,CCM B
NCCR= pandikizi la ccm, collaborator wa Tiss, wasaliti
Leo Cuf,Nccr= makamanda, wapambanaji,ukawa.

SHAME!!!!!

Ama kweli ukistaajabu ya musa utayaona ya filauni,cdm wamefanya ufisadi mkubwa wilaya ya karatu na serikali ipo? Ina maana unataka kutuaminisha kuwa serikali ya ccm imechoka kiasi cha kuiacha cdm ifanye inavyotaka? UNAKICHAFUA CHAMA CHA MAPINDUZI KWA MANUFAA YA NANI?

CC- NAPE
CC- KINANA
Angalieni kijana wenu anavyo idhalilisha serikali ya chama chenu,ni kwa manufaa ya nani? Mkihitaji kujua ni nani tutawaeleza kwani anajulikana.
 
Back
Top Bottom