Ufisadi waivuruga ngome ya Dk. Slaa

Ufisadi waivuruga ngome ya Dk. Slaa

Ndio kutapatapa kwa ccm kumeanza huku hakuna namna watanzania wamewachoka tuu
 
Westege of time and other resources to discuss nonsense issues like this. That is why our economy is falling and our shilling is depreciating.
 
aibu ni kipimo cha utu laiti ungekua na chembe ya aibu usingepoteza muda wako kuandika ujinga huu nakushauri kama shida yako ni kuandika humu jf uonekane andika mambo ya michezo,mahusiano na hata jokes vile maana kwenye siasa umepwaya sana kaka.

Asha Sidiria atakuwaje "kaka"???
 
Mleta uzi sifa ya binadamu ni kubadilikabadili (subject to change not object to change) na ndio maana unaweza ukamwona mtu mbaya lakini baadae tena mkarudisha mahusiano, hata huku mtaani unakuta watu walitofautiana mitazamo lakini unashangaa mtaani linatokea janga au misiba ambayo inawakutanisha pamoja na inatokea automatically mmepatana kutokana na kuwa pamoja katika ku-deal na changamoto (vingenevyo una roho ya kisasi)
 
Watu wengi hawaipendi chadema kwa kuwa wanazidi kinyonga tabia. badala ya kuiita CHADEMA tuiite chadomo party.

Hatuwezi kuwa na chama ambacho kina double standards.

1. Kudai kupambana na ufisadi lakini wanafanya kinyume chake.
ushahidi: halmashauri ya karatu imefanya ufisadi wa kutisha, wabunge akiwemo mwenyekiti wanachukua posho ambapo chama kiliazimia kuacha kuchukua posho ila kupunguza matumizi, kujikopesha fedha za chama ovyo, kiongozi kambi ya upinzani kwenda kisiri na kinyemela na kuchukua shangingi alilolikatia kabla.

2. Kusema hawawezi kuunda kambi ya upinzani na ccm B na kukataa ushauri wa spika halafu ghafla wameunda ukawa.

3 Kumbania David Kafulila na kudai afai kuwa kiongozi, ghafla tena wanamkubali kuwa waziri kivuli wa kambi rasmi ya upinzani.

Kukipa chama madaraka ambacho hakina msimamo kwa kile inachokisimamia ni hatari kubwa.
Leo wanasema hiki kesho wanageuka wanasema vingine.

CUF = waliberali, chama cha ushoga,CCM B
NCCR= pandikizi la ccm, collaborator wa Tiss, wasaliti
Leo Cuf,Nccr= makamanda, wapambanaji,ukawa.

SHAME!!!!!

unazungumzia watu gani?
 
Mtoa mada akapimwe akili,JF,siyo jukwaa la wendawazimu na matahira kama alivyo yeye.
 
Mleta uzi sifa ya binadamu ni kubadilikabadili (subject to change not object to change) na ndio maana unaweza ukamwona mtu mbaya lakini baadae tena mkarudisha mahusiano, hata huku mtaani unakuta watu walitofautiana mitazamo lakini unashangaa mtaani linatokea janga au misiba ambayo inawakutanisha pamoja na inatokea automatically mmepatana kutokana na kuwa pamoja katika ku-deal na changamoto (vingenevyo una roho ya kisasi)

Sio roho ya kisasi ni uji.nga tuu umetawala fikra zake. Na sio yeye tuu wako wengi sana ndani ya chama chao.
Ukitaka kudhibitisha hilo uangalie jinsi ripoti ya CAG iliyotoka na kueleza madudu ya serikali yalivyo ya kutisha watakavyo tetea serikali kama vile ufisadi huo ulienda kufanyikia Sudan ili Tanzania inufaike.
Kwa kweli nitawaona wajinga sana (hata wakitoka ukoo wangu) wale wote watakao ichagua ccm tena. Kwa sababu ccm ndio tatizo
 
Watu wengi hawaipendi chadema kwa kuwa wanazidi kinyonga tabia.

1. Kudai kupambana na ufisadi lakini wanafanya kinyume chake.
ushahidi: halmashauri ya karatu imefanya ufisadi wa kutisha, wabunge akiwemo mwenyekiti wanachukua posho ambapo chama kiliazimia kuacha kuchukua posho ila kupunguza matumizi, kujikopesha fedha za chama ovyo, kiongozi kambi ya upinzani kwenda kisiri na kinyemela na kuchukua shangingi alilolikatia kabla.

2. Kusema hawawezi kuunda kambi ya upinzani na ccm B na kukataa ushauri wa spika halafu ghafla wameunda ukawa.

3 Kumbania David Kafulila na kudai afai kuwa kiongozi, ghafla tena wanamkubali kuwa waziri kivuli wa kambi rasmi ya upinzani.

Kukipa chama madaraka ambacho hakina msimamo kwa kile inachokisimamia ni hatari kubwa.
Leo wanasema hiki kesho wanageuka wanasema vingine.

CUF = waliberali, chama cha ushoga,CCM B
NCCR= pandikizi la ccm, collaborator wa Tiss, wasaliti
Leo Cuf,Nccr= makamanda, wapambanaji,ukawa.

SHAME!!!!!

Kwa kukujibu naomba nikujibu kwa maswali rahisi sana:

1.Kama CDM hakipendwi kwanini kila siku kupeleka polisi wenye virungu,mabomu nk?Wa nini hawa?

2.Kama CDM hakipendwi kwa nini mliamua kwa hiari kabisa kumuua Mwangosi?

3.Kama CDM hakipendwi kwa nini mliamua kuapisha Wenyeviti wa mitaa ambao hawakuchaguliwa/kushinda kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa?

4.Kama CDM hakipendwi kwanini mnafanya dilly dallying kwenye kuandikisha wapiga kura wapya?Mnaogopa nini?

5.Kama CDM hakipendwi kwanini kila siku kutengeneza kesi na shutuma za uongo kwa wanachama wa CDM

Shame on you.Nenda ukatafute kwanza Katiba ya TANU na Katiba ya CCM zisome zote ukizielewa urudi tukueleze vizuri.

Mijizi ya mali za umma utaijua tu............EPA,ESCROW,RICHMOND na mpaka huyu mliyemleta mpya CAG naye amewatema maana ameshindwa hata kuwatetea kawamaliza kwa QUALIFIED REPORTS za kutosha.Halafu bado manawasafisha KAMBARE wakati asili ni TOPE.............

Hebu punguzeni hizi:majani7::majani7:Na huu:A S-devil4::A S-devil4:
 
kwa mitusi naama hii hatuwapi kura mtakuwa mnapata kura za wanywa viroba tu

Kamuulize Mbunge wa CCM Mbeya Mijini Mwalimu Mwampesiya, hao unaowaita wanywa viroba walimfanya nini?Akikupa jibu urudi mitaa hii
 
mkuu lipi hapo juu hujaelewa hizo ni facts tupu

Ukitaka kujua kama hizo ni facts au la Kamuulize vizuri Kinana alichokutana nacho huko alikopita.Akikupa rudi mtaa huu.

Na tunavyojua ukiona MWANAUME anamtukana sana BINTI basi ujue anamtaka na ameshindwa kumpata AIBU YENU,WEZI WA MALI ZA UMMA.......
 
Ukiwafatillia sana hawa viongozi wa chadema utagundua kuwa nao ni wezi tu!
wewe ACT msaliti acha kujitoa akili,si mumfuate zitto kigoma akawasaidie hela ya kula na nyinyi mumsaide puppetinism,kuliko kukaa humu ukikomaza vidole kwenye IT bila malengo cdm mmetimuliwa na bado mnaweweseka?
 
hivi wana jamvi mna fuatilia watu waliofyatuka ubongo yule mama hana akili timamu mimi wabunge wa ccm walio wengi nawaona kama wagonjwa wakutoa pointi sasa huyu mmother anajua akisema hivyo atateuliwa tena wakati dola ndo inashika dola
 
Oropaganda tuu hakuna Habari hapa.

Ukiona Mahali pooote Mtu anatoa taarifa za wizi au matumizi mabaya ya fedha,,,, Halafu anatumia Maneno.haya ambayo ni ya mtaani ujue ni proPaganda tu.. Ni uongo

Ametafuna ,,wametafuna ,,zimetafunwa,,,,,,

Huwezi kutafuna karatasi !!!
Maneno haya yanatumiwa na wanaosema uongo ,,. kama huyo mama
 
Back
Top Bottom