CHAI CHUNGU
JF-Expert Member
- Feb 20, 2012
- 7,113
- 930
ufisadi wa kutisha MALIASILI,
Kamati ya Bunge yabaini matumizi holela ya fedha,wizara yakiri kutofahamu idadi ya watalii waingiao chini,yapata hati chafu miaka mitatu mfululizo,
Akifafanua zaidi mwenyekiti wa kamati ya Bunge mh JONH CHEYO hesabu zinaonyesha mwaka 09 makusanyo ni trilion 1.7 zilipelekwa serikalini bln77.mwaka 010 ni trillion 1.2 serikalini bln52.
Chanzo MAJIRA NO:6617 TAREHE 17.FEB.12
Kazi kwenu wana jf sasa kichangia hii inshu.
Kamati ya Bunge yabaini matumizi holela ya fedha,wizara yakiri kutofahamu idadi ya watalii waingiao chini,yapata hati chafu miaka mitatu mfululizo,
Akifafanua zaidi mwenyekiti wa kamati ya Bunge mh JONH CHEYO hesabu zinaonyesha mwaka 09 makusanyo ni trilion 1.7 zilipelekwa serikalini bln77.mwaka 010 ni trillion 1.2 serikalini bln52.
Chanzo MAJIRA NO:6617 TAREHE 17.FEB.12
Kazi kwenu wana jf sasa kichangia hii inshu.