Ufisadi wa CHADEMA Moshi: Ofisi zote Halmashauri ilikuwa zifungwe kwa wiki nzima!!!

-hela/watu =>Mil 200/57=3.5087719mil/per person

-mil 3.51 au 3,510,000/= 3,510,000/1600=$2,193.75/pp

-hela kwa siku kwa kila mtu. katika week(assuming 7 days)=> $2,193.75/pp/7=$313.393per person, per day.

Bei ya hotel yenye ubora Kigali ni around $200 per person per night. na inaweza zidi sana.Achilia mbali matumizi mengine,kama stationery,phone,internet, transport etc.Tz yenyewe hotel zinazidi $ 2,000 kwa siku,hata kama kitazidi ni kiasi kidogo ambacho mtu alistahili baki na kitu hata cha kuleta zawadi kwa familia.

Seems ni msukumo wa kisiasa kuliko akili.

Kwani viwango vya per diem vya serikali kuu kwa mtu akiwa nje ya nchi kwa ukanda wa africa mashariki na kati ni zipi?
 
Mil.200 kutembea tu?kuna ajenda imefichika hapa

Million 200 si hela kama mnavyodhani.kwa watu wengi hivyo kwenda nje ya nchi.

-hela/watu =>Mil 200/57=3.5087719mil/per person

-mil 3.51 au 3,510,000/= 3,510,000/1600=$2,193.75/pp

-hela kwa siku kwa kila mtu. katika week(assuming 7 days)=> $2,193.75/pp/7=$313.393per person, per day.

Bei ya hotel yenye ubora Kigali ni around $200 per person per night. na inaweza zidi sana.Achilia mbali matumizi mengine,kama stationery,phone,internet, transport etc.Tz yenyewe hotel zinazidi $ 2,000 kwa siku,hata kama kitazidi ni kiasi kidogo ambacho mtu alistahili baki na kitu hata cha kuleta zawadi kwa familia.

Seems ni msukumo wa kisiasa kuliko akili.

Kwani viwango vya per diem vya serikali kuu kwa mtu akiwa nje ya nchi kwa ukanda wa africa mashariki na kati ni zipi?
 
Huyo mkuu wa mkoa aseme kuwa alitegemea hiyo safari ifanyweje?kwani hapa njia pekee ni kupuguza watu a kuwaleta wataalamu wa Kigali wakiw ana video napolice zao waje wafundisha moshi.Ila kama alipiga chini project na hakuwa na mbadala kachemsha.Kwa moshi Mji unaoongoza kwa usafi TZ na wana sheria kali sana, usafi ni issue ya kila siadhani kama kuna diwani ambaye ambaye angekuwa tayari kosa wakati ana jukumu la kurudi simamia usafi katk kata yake.

Njia ya kuwaleta wataalamu au hata kupeleka madiwani wachache nighali zaidi.Kwani hao waliokwenda wangetumia hela karibu robo,na wakirudi walipwe posho kuwafundisha wengine ambao nao wangehitaji posho.Na hata kuleta wataalamu hata watatu tuu ni gharama kuwalipa na pia kuwalipa hao madiwani posho zao.Yoote haya pia haya gurantee mafanikio ya zoezi hilo.

Kwa hiyo idadi ya watu na hiyo hela kama ingetosha kuwapa na osho bado ni matumizi yasiyoogopesha kama mawizarani:

Million 200 si hela kama mnavyodhani.kwa watu wengi hivyo kwenda nje ya nchi.

-hela/watu =>Mil 200/57=3.5087719mil/per person

-mil 3.51 au 3,510,000/= 3,510,000/1600=$2,193.75/pp

-hela kwa siku kwa kila mtu. katika week(assuming 7 days)=> $2,193.75/pp/7=$313.393per person, per day.

Bei ya hotel yenye ubora Kigali ni around $200 per person per night. na inaweza zidi sana.Achilia mbali matumizi mengine,kama stationery,phone,internet, transport etc.Tz yenyewe hotel zinazidi $ 2,000 kwa siku,hata kama kitazidi ni kiasi kidogo ambacho mtu alistahili baki na kitu hata cha kuleta zawadi kwa familia.

Seems ni msukumo wa kisiasa kuliko akili.

Kwani viwango vya per diem vya serikali kuu kwa mtu akiwa nje ya nchi kwa ukanda wa africa mashariki na kati ni zipi?
 
Mimi nadhani mkuu wa mkoa hakufanya vema, naona umuhimu wa kujifunza upo kwani Moshi inapanda hadhi na kuwa jiji na hivyo jiji la mfano hapo baadaye. Nadhani kama sio unazi wa kisiasa mkuu wa mkoa alipaswa kuhoji bajet na ikiwezekana kuipunguza. Idad ya wanamsafara na posho ya kila mmoja ndo ingekuwa chanzo cha mdala. Tukubali tusikubali Moshi ni mji wa upinzaji na pia ni eneo la kuigwa, wamefikia walipo kwa kujifunza. Kumbuka hata chakula upo ustarabu wa kula na hivyo hakuna mwisho wa kujifunza.
 
Hakuna anayeleta habari yenye uhakika hapa . Naona tu ushabiki wa CCM na CDM. Hata topic yenyewe imejaa ushabiki wa ccm kama ilivo kawaida ya mtoa mada. Kuna watu wa ccm humu ndani wamejaa ushabiki wakitafuta mlango wa kutokea na kuibana CDM. Sijaridhika na ukweli wa habari hii mpaka nipate habari huru.
 
Huyo mkuu wa mkoa aseme kuwa alitegemea hiyo safari ifanyweje?kwani hapa njia pekee ni kupuguza watu a kuwaleta wataalamu wa Kigali wakiw ana video napolice zao waje wafundisha moshi.Ila kama alipiga chini project na hakuwa na mbadala kachemsha.Kwa moshi Mji unaoongoza kwa usafi TZ na wana sheria kali sana, usafi ni issue ya kila siadhani kama kuna diwani ambaye ambaye angekuwa tayari kosa wakati ana jukumu la kurudi simamia usafi katk kata yake.

Njia ya kuwaleta wataalamu au hata kupeleka madiwani wachache nighali zaidi.Kwani hao waliokwenda wangetumia hela karibu robo,na wakirudi walipwe posho kuwafundisha wengine ambao nao wangehitaji posho.Na hata kuleta wataalamu hata watatu tuu ni gharama kuwalipa na pia kuwalipa hao madiwani posho zao.Yoote haya pia haya gurantee mafanikio ya zoezi hilo.

Kwa hiyo idadi ya watu na hiyo hela kama ingetosha kuwapa na osho bado ni matumizi yasiyoogopesha kama mawizarani:

Million 200 si hela kama mnavyodhani.kwa watu wengi hivyo kwenda nje ya nchi.

-hela/watu =>Mil 200/57=3.5087719mil/per person

-mil 3.51 au 3,510,000/= 3,510,000/1600=$2,193.75/pp

-hela kwa siku kwa kila mtu. katika week(assuming 7 days)=> $2,193.75/pp/7=$313.393per person, per day.

Bei ya hotel yenye ubora Kigali ni around $200 per person per night. na inaweza zidi sana.Achilia mbali matumizi mengine,kama stationery,phone,internet, transport etc.Tz yenyewe hotel zinazidi $ 2,000 kwa siku,hata kama kitazidi ni kiasi kidogo ambacho mtu alistahili baki na kitu hata cha kuleta zawadi kwa familia.

Seems ni msukumo wa kisiasa kuliko akili.

Kwani viwango vya per diem vya serikali kuu kwa mtu akiwa nje ya nchi kwa ukanda wa africa mashariki na kati ni zipi?
Mkuu, asante kwa mchanganuo lakini you are missing the point by a mile!

Safari ya kwenda Kigali kwa Viongozi WOTE wa Halmashauri ya Moshi, is this the MOST pressing problem kwa Moshi?
Au kwa lugha nyepesi -tatizo la Moshi, je ni sawa na kumfundisha ng'ombe kutengeneza maziwa?

Msukumo wa safari hii ni ufisadi-FULLSTOP.

Tuwe na ujasiri wa kueleza ukweli.
 
Hakuna anayeleta habari yenye uhakia hapa . Naona tu ushabiki wa CCna CDM. Hata topic yenyewe imejaa ushabiki wa ccm kama ilivo kawaida ya mtoa mada. Watu wa ccm humu ndani engi wso wamejsa ushabiki wakitafuta mlango wa kutokea na kuibana CDM. Sijaridhika na ujweli wa habari hii mpaka nipate habari huru.

Moshi usafi wa mazingira ni no.1 priority. watu wageni hujikuta wakitozwa faini na vifungo mfululizo kwa kukojoa hovyo au hta kutupa mabaka y vitu hovyo.Moshi wana watu walio na majukumu hata ya kutunza mifereji na mito ya maji.Wana utamaduni ambao ni mgeni sana kwa watu wa nje hata mawaziri wenyewe pamoja na exposure zao huwa wanashangaa moshi kila wafikapo as if ni wageni ule mji.

Ni discpline ya mtu mmoja mmoja tangu kijijini kwao ,huwa hawaruhusiwi hata kufua mtoni moja kwa moja.wengi hupaswa kuchota maji kwa vyomo na kufulia kando ya mto huku maji yakimwagwa mbali na mto.Hata nyumba haziruhusiwe kuelekeza uchafu katika mito na mifereji.

Gama ni mgeni wa huo utamaduni ndio maana hakuelewa na hivyo akaona ni nafasi ya kusafisha CCM na kuichafua CDM.Hakujua kuwa lile suala linaweza pia pelekwa kwa mbunge .Mbunge angeweza pewa nafasi mbadala ya kupunguza matumizi bila kuharibu matokeo yaliyotakiwa katik hilo zoezi na kulirudisha katik baraza la madiwani.
 
Hakuna anayeleta habari yenye uhakika hapa . Naona tu ushabiki wa CCM na CDM. Hata topic yenyewe imejaa ushabiki wa ccm kama ilivo kawaida ya mtoa mada. Kuna watu wa ccm humu ndani wamejaa ushabiki wakitafuta mlango wa kutokea na kuibana CDM. Sijaridhika na ukweli wa habari hii mpaka nipate habari huru.
Mkuu huna uhuru wa kutoa maoni mpaka uwe informed.
Na kama huna information ya habari yenyewe ni heri ukae kimya, uitafute na ujihakikishie juu ya ukweli wa habari hiyo.

Kwa kifupi tunaoifahamu habari hiyo iliyoripotiwa na wahusika kukiri , ni ya kweli.

Soma hii thread toka mwanzo na utaelimika.
 
Mkuu, asante kwa mchanganuo lakini you are missing the point by a mile!

Safari ya kwenda Kigali kwa Viongozi WOTE wa Halmashauri ya Moshi, is this the MOST pressing problem kwa Moshi?
Au kwa lugha nyepesi -tatizo la Moshi, je ni sawa na kumfundisha ng'ombe kutengeneza maziwa?

Msukumo wa safari hii ni ufisadi-FULLSTOP.

Tuwe na ujasiri wa kueleza ukweli.

Ufisadi gani na hakuna hela inayobaki?mimi mwenyewe naona shida kutengeza budget.hapo wakipewa tickets za ndege kwenda na kurudi hat akwa discount sijui zitabaki hela kiasi gani za wao kugawana.labda mwenye viwango vya aper diem za serikali atuletee kwa siku nje ya nchi.Ila nijuavyo nchi zinazotuzunguka hotel zao hata zenye huduma za kawaida sana bei zao ni ndogo.Logistics ya mjini na stationery kwa ajili ya hao kuchukua notice na mengine sioni hiyo hela.

Moshi usafi ni number one ndio maana kipindupindu hakikai kikianza,vyanzo vyao vya maji vi safi sana na mifereji huenda umbali mrefu bila kuchafuka kama ilivyo sehemu nyingine za nchi.


Shida hapa ni kubalance katika ya idadi ya watu na kutuma wawakilishi/kuwaleta wanyarwanda bila ku compromise matokeo ya hiyo elimu(kupata maximum effects).Njia ya kwenda inaweza kuwa the most effective na less expensive.

Issue ya kuwa most pressing ni huduma ya afya(hospital ya mawezi ni kama imekufa kabisa na hivyo kutumia KCMC) na kutanuka mji kwa kuongezeka wakazi wengi kwa eneo dogo.Hapo usafi ndio common parameter.Nionacho ni ghali kupeleka wachache wasioweza kuja fundisha wenzao halfu gharama nyingine ya kuwalipa per diem wakiwa training pale moshi.
 
[h=6]Madiwani CHADEMA moshi wanafanya mambo ya aibu, ziara ya kwenda kigali kwa mafunzo kwa milioni 200 wakati hospitali ya mawenzi next door haina x-ray tangu 2010 ni mfano gani huu. Ashukuriwe mkuu wa mkoa kuipiga STOP! Waletewe manual waisome inatosha. Ni muhimu kukosoa kila anayekosa bila kujali chama ulichopo.[/h]
 
[h=6]Madiwani CHADEMA moshi wanafanya mambo ya aibu, ziara ya kwenda kigali kwa mafunzo kwa milioni 200 wakati hospitali ya mawenzi next door haina x-ray tangu 2010 ni mfano gani huu. Ashukuriwe mkuu wa mkoa kuipiga STOP! Waletewe manual waisome inatosha. Ni muhimu kukosoa kila anayekosa bila kujali chama ulichopo.[/h]
Wewe ni gamba mkuu wa mkoa ambae nikada wa Ccm ana hasira za kunyimwa kiwanja eneo la waz katika kata yamajengo eneo la shauri moyo acha kukurupuka fanya utafiti
 
Wewe ni gamba mkuu wa mkoa ambae nikada wa Ccm ana hasira za kunyimwa kiwanja eneo la waz katika kata yamajengo eneo la shauri moyo acha kukurupuka fanya utafiti

Tuwe fair washkaji kama kweli walitaka kufanya upuuzi huo then tunawajibu wa kukemea kitendo hicho, haijalishi upo chama gani, ziara hiyo wangeweza kugoogle na kupata hizo notice za usafi
 
[h=6]Madiwani CHADEMA moshi wanafanya mambo ya aibu, ziara ya kwenda kigali kwa mafunzo kwa milioni 200 wakati hospitali ya mawenzi next door haina x-ray tangu 2010 ni mfano gani huu. Ashukuriwe mkuu wa mkoa kuipiga STOP! Waletewe manual waisome inatosha. Ni muhimu kukosoa kila anayekosa bila kujali chama ulichopo.[/h]

Sema hivii, madiwani wa manispaa ya Moshi pamoja na watumishi wa manispaa ya Moshi waliokuwa waende kwenye ziara ya mafunzo wamezuiwa na mkuumwa mkoa.

Usiwe kama unataga mayai makubwa kama ostrich wewe.

Kama unauza sisi hatununui.
ImageUploadedByJamiiForums1347904584.957686.jpg
 
We mleta mada unaonekana umetumwa halafu ni mbumbumbu wa mambo unayoandika. Viongozi wa serikali waliokubaliana na hoja hiyo na kupangia bajeti wameteuliwa na Chadema? Madiwani wote Manispaa ya Moshi ni wa Chadema? Toa itikadi zako hapa kwenye mambo ya msingi.
 
Back
Top Bottom