Kama suala ni kuwa fair alitakiwa aje na mada yenye akili. Ulikuwa ni mpango wa halmashauri nzima ya Moshi yenye madiwani wa CDM, CCM na m1 wa TLP, vipi aseme wa CDM as if ni wao peke yao? Stupid!
Mi sio mshkaji wako, kawaite washkaji watoto wenzio facebook
wewe jamaa hivi unajua jinsi maamuzi yanavyofikiwa kwenye vikao vya halmashauri? mbona bado watu mnakuwa wajinga wajinga? ni jambo ambalo nilihisi limeshatokomezwa vichwani mwa watu wazima kumbe bado kuna mijitu inaujinga ujinga? mmeshasema CCM ni mafisadi, majambazi, wezi na majina mengine mnayotuita yanayofanana na hayo, je, kwa matumizi haya ya fedha ambapo madiwani wa chadema waliyapitisha, unahisi wao sio wafujaji wa mali ya umma? Mijitu mingine sijui ikoje kuandika upuuzi tu kwenye thread za watu, kwani lazima uchangie? inabidi ukapate elimu ya watu wazima ili angalau elimu ikukomboe.