Kwani Rushwa Ina Adabu? Huoni Mkapa Na Yona Wameamua Kuanzisha Iptl Yao. Hawana Huruma Kabisa Hawa Watu. Sera Yao Ni Kukamua Tu
Si afadhali akina Mkapa?
Faida itaboresha kidogo maisha ya watu wa Lushoto na mtwara.
Fedha itakuwepo nchini kuliko hawa wanaochota na kupeleka kwao?
Faida zote kwao!