Maseto
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 944
- 545
Wana jf,habari,
nimepata taarifa ambazo bado naziita tetezi, kwa kuwa sijazichunguza, kuwa tume ya vyuo vikuu ikishirikiana na baadhi ya vyuo vikuu wanapeana mlungula ili wawapeleke wanachuo wengi wanaojiunga kwa gharama ya mikopo ya bodi ya mikopo ya elimu ya juu.kwamba vyuo vikuu hivyo hupeleka kitu kidogo kwa maafisa wa tcu ili wawadaili wanachuo wengi waliofanikiwa kukopeshwa na bodi.lengo ni kuongeza mapato kwa vyuo hivyo.ndiyo maana si ajabu kuona chuo kama saut wakipata wanachuo wachache kwa kuwa kanisa hilo la katoliki ambao ndiyo wamiliki wa vyuo vya saut wanapata wanachuo wachache zaidi.
nimepata taarifa ambazo bado naziita tetezi, kwa kuwa sijazichunguza, kuwa tume ya vyuo vikuu ikishirikiana na baadhi ya vyuo vikuu wanapeana mlungula ili wawapeleke wanachuo wengi wanaojiunga kwa gharama ya mikopo ya bodi ya mikopo ya elimu ya juu.kwamba vyuo vikuu hivyo hupeleka kitu kidogo kwa maafisa wa tcu ili wawadaili wanachuo wengi waliofanikiwa kukopeshwa na bodi.lengo ni kuongeza mapato kwa vyuo hivyo.ndiyo maana si ajabu kuona chuo kama saut wakipata wanachuo wachache kwa kuwa kanisa hilo la katoliki ambao ndiyo wamiliki wa vyuo vya saut wanapata wanachuo wachache zaidi.