live on
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 790
- 1,264
Leo nilienda katika ofisi za manispaa Fulani hapa Dar kufuatilia leseni ya biashara
Yani jamaa hata aogopi ananiambia ukilipia leseni hiyo elfu 81 haupati hadi ulipe na service levy elfu 50 ila ukinipa 30 au 20 nitakufanyia mpango upate leseni yako
Nikamuangalia moyoni nikasema ni bora nisipate hiyo leseni kuliko kukupa elfu 30 uitie mfukoni kwako
Baadae katika mizungoko yangu mulemule manispaa nikakutana na jamaa ameshika hizo lisiti kibao mkononi ambazo huzipati hadi ulipe hiyo kodi ya service levy
Nikasikitika sana moyoni mwangu nikaona yani hapa kodi ya serikali imeshapigwa na raia pia wameshapigwa
Ukweli ni kwamba hi kodi ya service levy kuwekwa sehemu ya kuchukulia leseni ya biashara yani ukishalipia leseni haupati hadi ulipe hi kodi ni kuwatengenezea watumishi mianya ya kuchukua rushuwa
Yani jamaa hata aogopi ananiambia ukilipia leseni hiyo elfu 81 haupati hadi ulipe na service levy elfu 50 ila ukinipa 30 au 20 nitakufanyia mpango upate leseni yako
Nikamuangalia moyoni nikasema ni bora nisipate hiyo leseni kuliko kukupa elfu 30 uitie mfukoni kwako
Baadae katika mizungoko yangu mulemule manispaa nikakutana na jamaa ameshika hizo lisiti kibao mkononi ambazo huzipati hadi ulipe hiyo kodi ya service levy
Nikasikitika sana moyoni mwangu nikaona yani hapa kodi ya serikali imeshapigwa na raia pia wameshapigwa
Ukweli ni kwamba hi kodi ya service levy kuwekwa sehemu ya kuchukulia leseni ya biashara yani ukishalipia leseni haupati hadi ulipe hi kodi ni kuwatengenezea watumishi mianya ya kuchukua rushuwa