Ufisadi mkubwa umeanza kwenye gesi!!!Aibu kubwa!!!! Euro 126.2 Mil alizosaini JK ni rushwa!!!

Honolulu

JF-Expert Member
Jan 20, 2012
5,648
1,724
11:46 a.m. CDT, July 23, 2012



NAIROBI (Reuters) - The European Union has given Tanzania 126.5 million euros ($153.28 million) to improve road infrastructure and access to drinking water in the gas-rich east African nation, the European Commission said on Monday.

Agreements for the aid were signed during a visit to Tanzania by European Commission President Jose Manuel Barroso and other senior EU officials over the weekend, the European Commission said in a statement...


My opinion: Hapa tuhesabu tumeumia! Jamani wanasisa kuweni na huruma kwa wananchi wenu!! Hiyo mikataba ya kisiri siri iwekwe wazi na ijadiliwe bungeni!

Juzi Rais Mseveni ameweka msimamo wa wazi kwamba lazima Uganda ifaidike na mafuta kwa 40%. Tanzania kila kitu ni mikataba ya siri! Dhahabu tunambulia 3% kwa sababu ya usiri huu wa kifisadi. Na sasa mmeanza na kwenye gas!!! Bila shaka tutaambulia 2%. Aibu!!! Aibu!!!!!!!
 
Serikali sikivu hiyo bora Mimi sikuwapa kura yangu kwahiyo ninaruhusiwa kulalamika sasa wewe uliyewapa halafu unalalamika huo ni uchuro vumilia kiume kwi! Kwi! Kwi! Kwi!
 
Kwani ndio mara ya kwanza Tanzania kupewa fedha na EU?

Isitoshe, mnataka gas ilete nini kama sio fedha?
 
11:46 a.m. CDT, July 23, 2012



NAIROBI (Reuters) - The European Union has given Tanzania 126.5 million euros ($153.28 million) to improve road infrastructure and access to drinking water in the gas-rich east African nation, the European Commission said on Monday.

Agreements for the aid were signed during a visit to Tanzania by European Commission President Jose Manuel Barroso and other senior EU officials over the weekend, the European Commission said in a statement...


My opinion: Hapa tuhesabu tumeumia! Jamani wanasisa kuweni na huruma kwa wananchi wenu!! Hiyo mikataba ya kisiri siri iwekwe wazi na ijadiliwe bungeni!

Juzi Rais Mseveni ameweka msimamo wa wazi kwamba lazima Uganda ifaidike na mafuta kwa 40%. Tanzania kila kitu ni mikataba ya siri! Dhahabu tunambulia 3% kwa sababu ya usiri huu wa kifisadi. Na sasa mmeanza na kwenye gas!!! Bila shaka tutaambulia 2%. Aibu!!! Aibu!!!!!!!

Umekosa la kuandika? Ingekuwa siri wewe ungejuwa? Soma hizi kidogo, ufumbuwe macho:

The Country Strategy Paper for Tanzania (2008-2013)
f_pdf_16.gif
presents the strategic framework for the co-operation of the European Commission (EC) with Tanzania under the 10th European Development Fund (EDF).
Two main thematic areas of assistance are infrastructure, communications and transport as well as trade and regional integration. Additional EC interventions in Tanzania provide support to non-state actors (NSA) to improve democratic governance and growth (€23 million); measures to support energy and climate research (€8 million); and support to governance reform programmes, including Zanzibar (€11 million).
The EC is committed to continue the use of macro-economic support in Tanzania and has earmarked €305 million (55%) for general budget support and €139 million (25%) for sector budget support. In total, this constitutes up to 80% of the total allocation of €565.1 million under 10th EDF funding.

http://ec.europa.eu/europeaid/where/acp/country-cooperation/tanzania/tanzania_en.htm
 
Umekosa la kuandika? Ingekuwa siri wewe ungejuwa? Soma hizi kidogo, ufumbuwe macho:

The Country Strategy Paper for Tanzania (2008-2013)
f_pdf_16.gif
presents the strategic framework for the co-operation of the European Commission (EC) with Tanzania under the 10th European Development Fund (EDF).
Two main thematic areas of assistance are infrastructure, communications and transport as well as trade and regional integration. Additional EC interventions in Tanzania provide support to non-state actors (NSA) to improve democratic governance and growth (€23 million); measures to support energy and climate research (€8 million); and support to governance reform programmes, including Zanzibar (€11 million).
The EC is committed to continue the use of macro-economic support in Tanzania and has earmarked €305 million (55%) for general budget support and €139 million (25%) for sector budget support. In total, this constitutes up to 80% of the total allocation of €565.1 million under 10th EDF funding.

Tanzania
Unajua mwizi hakosi cha kujitetea. Sasa unaparamia mambo mengine ambayo hata hayahusiani na habari husika! Maskini kabisa wewe!!! Sasa hiyo "country stratergy paper" kwa uelewa wako ndiyo inayoruhusu rushwa!!!!??
 
Unajua mwizi hakosi cha kujitetea. Sasa unaparamia mambo mengine ambayo hata hayahusiani na habari husika! Maskini kabisa wewe!!! Sasa hiyo "country stratergy paper" kwa uelewa wako ndiyo inayoruhusu rushwa!!!!??

Wewe kujitetea nini? kama huna cha kuandika ungekaa kimya tu. Misaada ya EU haikuanza leo Tanzania nchi za Ulaya zimekuwa zikii support Tanzania toka tupate Uhuru. Wacha kuwa limbukeni.

Soma hii: :: FREE AFRICA FOUNDATION ::
 
Nimerudia mara kadhaa na sijakuelewa, kwa hiyo kila msaada sasa hivi ni rushwa ya gesi? Jaribu kutumia kichwa kufikiri kidogo siyo kufuga nywele tu
 
Nimerudia mara kadhaa na sijakuelewa, kwa hiyo kila msaada sasa hivi ni rushwa ya gesi? Jaribu kutumia kichwa kufikiri kidogo siyo kufuga nywele tu
Iwapo kila siku unasoma magazeti ya udaku ni wazi hutaelewa habari hiyo. Kuna jambo ambalo si zuri hata kidogo!!

Kila kukicha mabosi wa makampuni makubwa wanatembelea Ikulu. Kwa nini makampuni makubwa wanakuwa na mikutano na uongozi wa juu wakati hata bunge halijapitisha sheria ya mafuta? Soma International news ndipo utakapoelewa kinachoendelea.

Hebu shughulisha ubongo wako kidogo tu uone jinsi international companies wanavyopania kwa udi na uvumba kuikwapua gesi ya Tanzania. Usiposhughulisha ubongo, utazidi kushangaa hadi hapo utakapokuta na wewe ulikwishauzwa!!!
 
Honolulu, pengine habari yako ni sahihi, lakini kuiweka hapa bila ya kuwa na maelezo ya kina, habarii yako iaonekana kama ni ya udaku vile. Sio tu uweke hapa msaada wa EU kuwa ni rushwa kwa ajili ya gesi, bali weka mikataba iliyosainiwa, au inayotaka kusainiwa, ikiwa inaihusisha EU.
 
Last edited by a moderator:
11:46 a.m. CDT, July 23, 2012



NAIROBI (Reuters) - The European Union has given Tanzania 126.5 million euros ($153.28 million) to improve road infrastructure and access to drinking water in the gas-rich east African nation, the European Commission said on Monday.

Agreements for the aid were signed during a visit to Tanzania by European Commission President Jose Manuel Barroso and other senior EU officials over the weekend, the European Commission said in a statement...


My opinion: Hapa tuhesabu tumeumia! Jamani wanasisa kuweni na huruma kwa wananchi wenu!! Hiyo mikataba ya kisiri siri iwekwe wazi na ijadiliwe bungeni!

Juzi Rais Mseveni ameweka msimamo wa wazi kwamba lazima Uganda ifaidike na mafuta kwa 40%. Tanzania kila kitu ni mikataba ya siri! Dhahabu tunambulia 3% kwa sababu ya usiri huu wa kifisadi. Na sasa mmeanza na kwenye gas!!! Bila shaka tutaambulia 2%. Aibu!!! Aibu!!!!!!!


The same old story

 
Wewe kujitetea nini? kama huna cha kuandika ungekaa kimya tu. Misaada ya EU haikuanza leo Tanzania nchi za Ulaya zimekuwa zikii support Tanzania toka tupate Uhuru. Wacha kuwa limbukeni.

Soma hii: :: FREE AFRICA FOUNDATION ::

Wewe ndo limbukeni usiekua na mkia...watu hawazungumzii EU kuacha kutupa misaada watu wanataka kujua hizo fedha zinaenda wapi na na je tunaweza ku pataje feedback ya matumizi halali ya hizo fedha...sasa wewe unakurupuka na kudhani watu wanahoji EU kutoa misaada,,,kwanza na wengine tunasomeshwa na EU hiyo hiyo.Jibu hoja...acha woga
 
Wewe kujitetea nini? kama huna cha kuandika ungekaa kimya tu. Misaada ya EU haikuanza leo Tanzania nchi za Ulaya zimekuwa zikii support Tanzania toka tupate Uhuru. Wacha kuwa limbukeni.

Soma hii: :: FREE AFRICA FOUNDATION ::

Wewe ma.ta.k.o toka mnapata uhuru mnasaidiwa, hiyo misaada inakwenda wapi? mbona kila kukicha afadhali ya jana. hatushangai kukuta watumishi wa uma ni matajiri kuliko wafanyabiashara. hakika ubongo wako pamoja na mat.ak.o yana ukurutu, mat... unakunwa, ubongo ndio uharo unaoporomosha namna hii.
 
Unajua mwizi hakosi cha kujitetea. Sasa unaparamia mambo mengine ambayo hata hayahusiani na habari husika! Maskini kabisa wewe!!! Sasa hiyo "country stratergy paper" kwa uelewa wako ndiyo inayoruhusu rushwa!!!!??

Kwani hao kina MKUKUTA cjui MKURABITA cjui nn wamefanya kitu gani hadi leo.? au ni kuzidisha umasikini tu. Funguka
 
Umekosa la kuandika? Ingekuwa siri wewe ungejuwa? Soma hizi kidogo, ufumbuwe macho:

The Country Strategy Paper for Tanzania (2008-2013)
f_pdf_16.gif
presents the strategic framework for the co-operation of the European Commission (EC) with Tanzania under the 10th European Development Fund (EDF).
Two main thematic areas of assistance are infrastructure, communications and transport as well as trade and regional integration. Additional EC interventions in Tanzania provide support to non-state actors (NSA) to improve democratic governance and growth (23 million); measures to support energy and climate research (8 million); and support to governance reform programmes, including Zanzibar (11 million).
The EC is committed to continue the use of macro-economic support in Tanzania and has earmarked 305 million (55%) for general budget support and 139 million (25%) for sector budget support. In total, this constitutes up to 80% of the total allocation of 565.1 million under 10th EDF funding.

Tanzania

zomba,

Naona unatoa darsa kabla ujaingia kwenye munakasha mchana wa leo...endelea kutoa elimu humu JF kuna watu wanaelimika kupitia kwako.
 
Last edited by a moderator:
zomba,

Naona unatoa darsa kabla ujaingia kwenye munakasha mchana wa leo...endelea kutoa elimu humu JF kuna watu wanaelimika kupitia kwako.

Hivi kumbe ile debate ni leo? Ngoja nijiandae nisijekosa...
 
Last edited by a moderator:
zomba,

Naona unatoa darsa kabla ujaingia kwenye munakasha mchana wa leo...endelea kutoa elimu humu JF kuna watu wanaelimika kupitia kwako.

May be right but a good teacher should allow good students to rise their eyebrows.....................!!!!!!!!!!
 
Kwani ndio mara ya kwanza Tanzania kupewa fedha na EU?

Isitoshe, mnataka gas ilete nini kama sio fedha?

Hatutaki mikataba ya siri ya kuambulia %3,tunataka mikataba ya wazi na ijadiliwe bungeni we uansemaje kuhusu hilo?
 
11:46 a.m. CDT, July 23, 2012



NAIROBI (Reuters) - The European Union has given Tanzania 126.5 million euros ($153.28 million) to improve road infrastructure and access to drinking water in the gas-rich east African nation, the European Commission said on Monday.

Agreements for the aid were signed during a visit to Tanzania by European Commission President Jose Manuel Barroso and other senior EU officials over the weekend, the European Commission said in a statement...


My opinion: Hapa tuhesabu tumeumia! Jamani wanasisa kuweni na huruma kwa wananchi wenu!! Hiyo mikataba ya kisiri siri iwekwe wazi na ijadiliwe bungeni!

Juzi Rais Mseveni ameweka msimamo wa wazi kwamba lazima Uganda ifaidike na mafuta kwa 40%. Tanzania kila kitu ni mikataba ya siri! Dhahabu tunambulia 3% kwa sababu ya usiri huu wa kifisadi. Na sasa mmeanza na kwenye gas!!! Bila shaka tutaambulia 2%. Aibu!!! Aibu!!!!!!!

Mi nilisha-rule out longtime kitambo kwamba we no longer have a president but just a certain popular world beggar!
 
Back
Top Bottom