11:46 a.m. CDT, July 23, 2012
NAIROBI (Reuters) - The European Union has given Tanzania 126.5 million euros ($153.28 million) to improve road infrastructure and access to drinking water in the gas-rich east African nation, the European Commission said on Monday.
Agreements for the aid were signed during a visit to Tanzania by European Commission President Jose Manuel Barroso and other senior EU officials over the weekend, the European Commission said in a statement...
My opinion: Hapa tuhesabu tumeumia! Jamani wanasisa kuweni na huruma kwa wananchi wenu!! Hiyo mikataba ya kisiri siri iwekwe wazi na ijadiliwe bungeni!
Juzi Rais Mseveni ameweka msimamo wa wazi kwamba lazima Uganda ifaidike na mafuta kwa 40%. Tanzania kila kitu ni mikataba ya siri! Dhahabu tunambulia 3% kwa sababu ya usiri huu wa kifisadi. Na sasa mmeanza na kwenye gas!!! Bila shaka tutaambulia 2%. Aibu!!! Aibu!!!!!!!
NAIROBI (Reuters) - The European Union has given Tanzania 126.5 million euros ($153.28 million) to improve road infrastructure and access to drinking water in the gas-rich east African nation, the European Commission said on Monday.
Agreements for the aid were signed during a visit to Tanzania by European Commission President Jose Manuel Barroso and other senior EU officials over the weekend, the European Commission said in a statement...
My opinion: Hapa tuhesabu tumeumia! Jamani wanasisa kuweni na huruma kwa wananchi wenu!! Hiyo mikataba ya kisiri siri iwekwe wazi na ijadiliwe bungeni!
Juzi Rais Mseveni ameweka msimamo wa wazi kwamba lazima Uganda ifaidike na mafuta kwa 40%. Tanzania kila kitu ni mikataba ya siri! Dhahabu tunambulia 3% kwa sababu ya usiri huu wa kifisadi. Na sasa mmeanza na kwenye gas!!! Bila shaka tutaambulia 2%. Aibu!!! Aibu!!!!!!!