Achana na vidagaa
Hana data zozote ni majungu tu kuchimbana, ndio akili ya mtanzania, madini yandondoka bila kuhesabiwa dhahabu, almasi, wanyama hela zinakwapuliwa ndani ya central bank mahali ambako nido sefu yetu ya mwisho kama nchi, huko maliasili usisema, hela za safari ya raisi cash money in dollars, JK mwenyewe aliiba hela za msafara akiwa south afika wakati waziri wa mambo ya nje, huyu mama hata kama anaiba na hizo hela haziingii TRA hivi zingeingia zingebadili vipi maisha yako, familia yako na watoto wako. Hili Ndio tatizo letu kubwa, sijaona thread ya kutaka kujua mafisadi waliochukua dola zetu milioni moja anazobeba JK kila anapotoka safari kwamba ni wakina nani na warudishe. Mtanzania akithubutu kuchungulia huko juu si TRA, si matakataka si nini na juu ya hapo ndio vijicho kama vyako, hivi wageni wote wanaotufanya kichwa cha bibi hatuhangikki nao tena tunaandika humu tukiwasifia kwa ushenzi wao,
Opportunity is like a window, only stays open for a while, Mariedo ni mfanyabiashara si mfanyakazi wa wiara ya afya
Si siri nchi nzima tunamjua sasa kuwa Blandina ni mwizi, kila alkogsa ni kero lakini ndio values za serikali na viongozi wetu. Ni mtuwa Mkapa ametoka nae huko na wote wezi sasa mariedoafayeje. yes mariedo alikula dili zake na Blandina, sawa mbona yule mhindi wa Kiwete ndio sole contractor wa kazi zote za serikali, watanzania wanakosa tender mbona hamsemi? haya mbona Rostam Aziz ndio supply wa kusafisha migodi yote Tanzania, mbona hamsemi? mnayemuona ni huyu dada wa watu anayeuza chupi na poda. Na cha kujiuliza ni kwa nin mfanyabiashara huyu asiwe na motisha ya kulipa kodi, kwa sababu tax system ya nchi hii ni mavi ya kunya, hakuna utaalamu wala akili kitilya amezeeka anakalishwa tu pale kwa wizi naye basi mlipueni, kwa nin mke wake anapata tender zote za serikali, basi nae ni fisadi. Muacheni Mariedo sio ndugu yangu, namfamu tangu akiwa jangwani ni mchapa kazi, hata kama nform four leaver, hao ma graduate waliolundikana kila kona wanafanya nini si tu kuchangia nchi bali hata maisha yao. Najua lengo la waraka huu ni kuwa unlesh watu wa TRA kufanya harassment kwa mariedo na kuhukua hela ni dhambi, fanyeni kazi jamani na nyie tunajuana watanzania humu matatizo yetu.
kwa nina tunam condemn mtanzania? tumeua biashara za wazawa siku hizi wakina home service center sijui eti ndio wafanyabiashara wakubwa watanzania, Je wao wanakwepa kodi ngapi? do you need to be told? kama unazungumzia data toa hizo sio
Na kama kuna watanzania wengine wa kawaida wanaweza kuibia serikali fundishaneni do it, hii siiyo serikali ni genge la wezi, mimi mwezi wa pili wakati gari yangu imepandishwa thamani kwa washenzi ma clerk calling themselves officer wa TRA, waziri wa fedha wa wakati huo alisamehewa kodi ya milini 96 na watu hao wanaojifanya wataalamu. Mariedo kama alibwbwa na Blandina kwa 10% yeye ankosa gani? angekataa tenda? of course zile deal zilikua kichekesho nakumbuka sabasaba na suti za wafanyakazi wa wizara ya afya, sasa Blandina anajulikana mwizi siku zote, kipi cha kumchanganya na maendeleao ya mary? Blandina hahitaji kuwa na share mariedo kula hela ya mary. Jamani tunapigania 1% wakati 99% tumeicha wazi inaliwa na wageni. Sisi tunauana kwa left overs, hii tabia mbaya sana na ndio adui mkubwa wa maendeleo yetu, ningetegemea sisi kama wazawa tupiganie mazingira mzuri ya wafanyabiashare wazawa, hawe ndio wtakaojenge uchumi wetu, hivi nchi hii kweli itegemee kuendeshwa na kodi za poda na suspenders. stop the cheap talk na nyie wengine acheni kumshabikia,
Hana data zozote ni majungu tu kuchimbana, ndio akili ya mtanzania, madini yandondoka bila kuhesabiwa dhahabu, almasi, wanyama hela zinakwapuliwa ndani ya central bank mahali ambako nido sefu yetu ya mwisho kama nchi, huko maliasili usisema, hela za safari ya raisi cash money in dollars, JK mwenyewe aliiba hela za msafara akiwa south afika wakati waziri wa mambo ya nje, huyu mama hata kama anaiba na hizo hela haziingii TRA hivi zingeingia zingebadili vipi maisha yako, familia yako na watoto wako. Hili Ndio tatizo letu kubwa, sijaona thread ya kutaka kujua mafisadi waliochukua dola zetu milioni moja anazobeba JK kila anapotoka safari kwamba ni wakina nani na warudishe. Mtanzania akithubutu kuchungulia huko juu si TRA, si matakataka si nini na juu ya hapo ndio vijicho kama vyako, hivi wageni wote wanaotufanya kichwa cha bibi hatuhangikki nao tena tunaandika humu tukiwasifia kwa ushenzi wao,
Opportunity is like a window, only stays open for a while, Mariedo ni mfanyabiashara si mfanyakazi wa wiara ya afya
Si siri nchi nzima tunamjua sasa kuwa Blandina ni mwizi, kila alkogsa ni kero lakini ndio values za serikali na viongozi wetu. Ni mtuwa Mkapa ametoka nae huko na wote wezi sasa mariedoafayeje. yes mariedo alikula dili zake na Blandina, sawa mbona yule mhindi wa Kiwete ndio sole contractor wa kazi zote za serikali, watanzania wanakosa tender mbona hamsemi? haya mbona Rostam Aziz ndio supply wa kusafisha migodi yote Tanzania, mbona hamsemi? mnayemuona ni huyu dada wa watu anayeuza chupi na poda. Na cha kujiuliza ni kwa nin mfanyabiashara huyu asiwe na motisha ya kulipa kodi, kwa sababu tax system ya nchi hii ni mavi ya kunya, hakuna utaalamu wala akili kitilya amezeeka anakalishwa tu pale kwa wizi naye basi mlipueni, kwa nin mke wake anapata tender zote za serikali, basi nae ni fisadi. Muacheni Mariedo sio ndugu yangu, namfamu tangu akiwa jangwani ni mchapa kazi, hata kama nform four leaver, hao ma graduate waliolundikana kila kona wanafanya nini si tu kuchangia nchi bali hata maisha yao. Najua lengo la waraka huu ni kuwa unlesh watu wa TRA kufanya harassment kwa mariedo na kuhukua hela ni dhambi, fanyeni kazi jamani na nyie tunajuana watanzania humu matatizo yetu.
kwa nina tunam condemn mtanzania? tumeua biashara za wazawa siku hizi wakina home service center sijui eti ndio wafanyabiashara wakubwa watanzania, Je wao wanakwepa kodi ngapi? do you need to be told? kama unazungumzia data toa hizo sio
Na kama kuna watanzania wengine wa kawaida wanaweza kuibia serikali fundishaneni do it, hii siiyo serikali ni genge la wezi, mimi mwezi wa pili wakati gari yangu imepandishwa thamani kwa washenzi ma clerk calling themselves officer wa TRA, waziri wa fedha wa wakati huo alisamehewa kodi ya milini 96 na watu hao wanaojifanya wataalamu. Mariedo kama alibwbwa na Blandina kwa 10% yeye ankosa gani? angekataa tenda? of course zile deal zilikua kichekesho nakumbuka sabasaba na suti za wafanyakazi wa wizara ya afya, sasa Blandina anajulikana mwizi siku zote, kipi cha kumchanganya na maendeleao ya mary? Blandina hahitaji kuwa na share mariedo kula hela ya mary. Jamani tunapigania 1% wakati 99% tumeicha wazi inaliwa na wageni. Sisi tunauana kwa left overs, hii tabia mbaya sana na ndio adui mkubwa wa maendeleo yetu, ningetegemea sisi kama wazawa tupiganie mazingira mzuri ya wafanyabiashare wazawa, hawe ndio wtakaojenge uchumi wetu, hivi nchi hii kweli itegemee kuendeshwa na kodi za poda na suspenders. stop the cheap talk na nyie wengine acheni kumshabikia,