Vicentsamwel
Member
- Dec 5, 2012
- 11
- 0
World Bank walitoa miliono 200 ili kujenga mifereji na kuweka changarawe barabara ya salasala kwa Babu kutoka IPTL mpaka inapoungana na barabara ya lami Salasala kwa Mboma, lakini kilichofanyika ni usanii mtupu kwani mifereji wamejenga sehemu isiyozidi mita 10.
Wadau naomba mfuatilie kwani wafadhili watakata tamaa
Wadau naomba mfuatilie kwani wafadhili watakata tamaa