Wakuu wa JF, kuna taarifa ya kuwa Serikali imetoa waraka kuwa Gari za Abiria zitakazoingia Tanzania ziwe mwisho 2005(by next Month), yaani gari itakayoingizwa iwe 5yrs back kutoka mwaka unaonunua hio gari.
Hii ni tofauti na ile walotangulia inayosema gari iwe ya miaka 10, zaid ya hapo itabidi iwe inalipiwa gharama za Mali CHOVU.
Hofu yangu ni kuwa watu wa kima cha chini wanaoingiza hiace au Mini buses...hawatoweza kuafford hili, na kuna uwezekano mkubwa kuna wajanja wachache wanataka kuingiza gari zao, na ili zilipe basi wanaweka vizingit wengine wasiweze kuagiza magari yao. Na Hapa kuna uwezekano mkubwa wa kuwa wahusika wakalambishwa chochote juu ya Hili.
Naomba Tujadili na kama kuna mtu ananyeti zaid..basi atumwagie..
Hii ni tofauti na ile walotangulia inayosema gari iwe ya miaka 10, zaid ya hapo itabidi iwe inalipiwa gharama za Mali CHOVU.
Hofu yangu ni kuwa watu wa kima cha chini wanaoingiza hiace au Mini buses...hawatoweza kuafford hili, na kuna uwezekano mkubwa kuna wajanja wachache wanataka kuingiza gari zao, na ili zilipe basi wanaweka vizingit wengine wasiweze kuagiza magari yao. Na Hapa kuna uwezekano mkubwa wa kuwa wahusika wakalambishwa chochote juu ya Hili.
Naomba Tujadili na kama kuna mtu ananyeti zaid..basi atumwagie..