Maundumula
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 7,550
- 3,092
Nataka nihakikishiwe authenticity ya hizi shutuma na hizo documents kabla sijaanza kusema chochote.
kwakuwa bandari ipo chini ya mwakyembe madudu yakifanyika bandarini ni msukumo wa mwakyembe?
Gamba punguza mahaba na chama cha majambazi, kwanza uwe unasoma kabla hujatuma ujumbe angalia kwenye nyekundu hapo.
Ulitaka akwambie nini, wakati umeambiwa tenda haikutangazwa?
Kujenga mabondeni kama umejipanga sio tatizo ndio maana Yanga wanataka kujenga Stadium pale Jangwani
Labda hayo mengine tuyajadili.
huu ni ufisadi wa wazi wazi kabisa. Tunajua Sukita ni mradi wa CCM, sasa TPA mpaka kuwekeza hapo kuna makubaliano gani na CCM?
Pili yaani ku level ground, kuweka pavements, kuweka majengo ya ofisi ndogo za walinzi, vyoo na kuzungusha fensi iwe 10BN??
Huu wizi wa mchana watanzania tusikubali
dk. mwakyembe hawezi ingia kwenye tope la wazi kihivo. dk. piga kazi.