ZeMarcopolo
Platinum Member
- May 11, 2008
- 14,017
- 7,220
Kuna forum ya India ya mijadala ya kilimo.
Huwa naitembelea kupanua mawazo juu ya kilimo katika nchi ambayo ni maskini lakini ina maendeleo ya kuridhisha.
Katika pitiapitia katika blog hiyo nimekuta member amepost thread ya kuuza ardhi kubwa sana Tanzania. Kwa kuwa member amewahakikishia wanunuzi kuwa ardhi yenyewe ina lease na kutokana na ukubwa wa ardhi yenyewe nimeshtuka kidogo!
Kuna uwezekano this is another ufisadi in the making...
Thread yenyewe hii hapa 10,000 hectare land available in Tanzania - AgricultureInformation.com
Huwa naitembelea kupanua mawazo juu ya kilimo katika nchi ambayo ni maskini lakini ina maendeleo ya kuridhisha.
Katika pitiapitia katika blog hiyo nimekuta member amepost thread ya kuuza ardhi kubwa sana Tanzania. Kwa kuwa member amewahakikishia wanunuzi kuwa ardhi yenyewe ina lease na kutokana na ukubwa wa ardhi yenyewe nimeshtuka kidogo!
Kuna uwezekano this is another ufisadi in the making...
Thread yenyewe hii hapa 10,000 hectare land available in Tanzania - AgricultureInformation.com