mtunzasiri
JF-Expert Member
- Dec 24, 2012
- 1,448
- 992
Kuna njia mbili za kuonyesha kupingana na maamuzi ya taasisi unayoiongoza au kushirikiana nayo kiutendaji.
Moja ni kupinga maamuzi yote kwa uwazi bila kuogopa.
Mbili ni kujiuzuru na kuacha uovu wa taasisi au chama kile usihusike nao kamwe.
Sasa mnaopingana na ukweli wa mada Kuhusu UFISADI NDANI YA CCM NAOMBA niambieni ni Nani Mwenye Haki YA kupinga ufisadi na rushwa kwa Ujumla wake sasa kati ya wagombea Urais Tanzania Ni E.N. Lowassa au J. P. Magufuli MAANA mpaka Leo MMOJA anamsifu mmojawapo wa waliotajwa kama mafisadi na anakaa nae Meza moja wakifanya maamuzi pamoja bila kupinga Tena ya Nchi na Lowassa sio tu kajiondoa na kajisafisha kuwa Hahusiki na ufisadi wala taasisi ya CCM pia alijiuzuru mapema akiamini na kusema 'Najiuzuru kulinda Serikali NCHI' maana ccm sio baba yangu wala mama yake.
Moja ni kupinga maamuzi yote kwa uwazi bila kuogopa.
Mbili ni kujiuzuru na kuacha uovu wa taasisi au chama kile usihusike nao kamwe.
Sasa mnaopingana na ukweli wa mada Kuhusu UFISADI NDANI YA CCM NAOMBA niambieni ni Nani Mwenye Haki YA kupinga ufisadi na rushwa kwa Ujumla wake sasa kati ya wagombea Urais Tanzania Ni E.N. Lowassa au J. P. Magufuli MAANA mpaka Leo MMOJA anamsifu mmojawapo wa waliotajwa kama mafisadi na anakaa nae Meza moja wakifanya maamuzi pamoja bila kupinga Tena ya Nchi na Lowassa sio tu kajiondoa na kajisafisha kuwa Hahusiki na ufisadi wala taasisi ya CCM pia alijiuzuru mapema akiamini na kusema 'Najiuzuru kulinda Serikali NCHI' maana ccm sio baba yangu wala mama yake.