Ufisadi halisi uko hapa!

Ufisadi halisi uko hapa!

Eti watanzania na akili zetu tukawapigie kura CCM WEZI WA MALI YA UMMA KWA MIAKA ZAIDI YA 50,NA WENYE AHADI HEWA. hapana aiseee...hatudanganyiki tena.KURA ZETU NI KWA LOWASA NA WAGOMBEA WA UKAWA.
 
Hata waweke JIWE na LOWASA bado nitachagua JIWE

Natumaini umenielewa vizuri. Sina suala na chuki yako dhidi ya Lowasa. Una uhuru wa kumpenda na kumchagua yeyote anayekukosha hata kama ni jiwe. Ila, mimi binafsi sitakaa nikubaliane na mchezo unaoendelea wa washirika wa wizi mkubwa serikalini kutuletea danganya toto ya kunyoosheana vidole kwa kuviziana kuitana mafisadi mbele yetu. Halafu, bila soni, wanadiriki kujidai wao ndio viboko wa mafisadi. Some of us are not that stupid. Na nikisema hivyo sijaishia kwa chama tawala tu; nafuatilia kote.
 
mbona 2010alishikwa mkono na mkuu kule monduli na kumnadi kuwa lowasa ni mtu safi asiye na tatizo mpeni kula awe mbunge wa monduli.vp hakuwa fisadi?au msafi wa nguo?piiiiiiiipoooooooz!✌✌✌
 
kwahiyo kama ccm wanawalinda majambazi nanyinyi mkaona bora mlinde jambazi kuu lowassa.kweli cdm ccm b

Kumbuka Lowasa hakulindwa wanaolindwa wapo ccm mpaka leo wamepewa majimbo ya kugombea pamoja na kashfa.
Lakini Lowassa alijiuzuru , kisiasa maana yake ni kuruhusu tuhuma zichukuliwe hatua mbele zaidi kisheria bila mhusika kulindwa na madaraka yake swali mbona hawakufuata taratibu kisheria baada ya mtuhumiwa kujiuzuru? kwa nyingine waliona hahusiki na ufisadi nayeye mwenyewe kajisafisha kuwa ilikuwa ni amri toka juu ba hahusiki kamwe kama ccm wanaona kuna ufisadi mwendesha mashitaka wa serikali anafanya nini ofisini kwake amfungulie kesi kama hawana kesi wakae kimya maana ufisadi uko ndani yao.
 
Kumbuka Lowasa hakulindwa wanaolindwa wapo ccm mpaka leo wamepewa majimbo ya kugombea pamoja na kashfa.
Lakini Lowassa alijiuzuru , kisiasa maana yake ni kuruhusu tuhuma zichukuliwe hatua mbele zaidi kisheria bila mhusika kulindwa na madaraka yake swali mbona hawakufuata taratibu kisheria baada ya mtuhumiwa kujiuzuru? kwa nyingine waliona hahusiki na ufisadi nayeye mwenyewe kajisafisha kuwa ilikuwa ni amri toka juu ba hahusiki kamwe kama ccm wanaona kuna ufisadi mwendesha mashitaka wa serikali anafanya nini ofisini kwake amfungulie kesi kama hawana kesi wakae kimya maana ufisadi uko ndani yao.

Huyo ni kama haelewi achana naye
 
mbona 2010alishikwa mkono na mkuu kule monduli na kumnadi kuwa lowasa ni mtu safi asiye na tatizo mpeni kula awe mbunge wa monduli.vp hakuwa fisadi?au msafi wa nguo?piiiiiiiipoooooooz!✌✌✌

Hapo sasa
 
Back
Top Bottom