Uwezo Tunao
JF-Expert Member
- Nov 14, 2010
- 6,942
- 1,190
- Thread starter
- #301
NEC CCM PINDI WANAPOKAA NA BARAZA LA MAWAZIRI KAZI ISIWE NI YA KUREFUSHA LISTI YA WATANZANIA GANI WAFE KWA KUWA HAKUNA KITU 'AMANI' KWA NCHA YA UPANGA HAPA
Taarifa hizi tunazo tayari kwa zaidi ya wiki sasa.
Hata hivyo maswali ya msingi sana ya kujiuliza ni kwamba je huu mpango wa mauaji wa hivi sasa watu wazito kama vile Askofu Mkuu Mwadhama Polycarp Pengo, Samuel Sitta, Ruaichi na wengine kibao tu ambao yote yanatarajiwa kutekelezwa KWA FAIDA NA MANUFAA YA NANI Tanzania hii eti kwa kisingizio kwao wao kuwa chanzo Kikwete na CCM kushindwa kutawala?????????
Naam, kunabainishwa kwamba kuwa orodha inakwenda ikiongezeka kila uchao huko kwa madalali wa mauaji nchini, hata hivyo listi nzima nayo iko mezani. Suala la Dr Mwakyembe na waraka wa siri juu ya mikasa yake ndio kabisaa taabu tupu huko ndani maswali yakiulizwa bila majibu eti SIKU ANAPOAGA DUNIA Tanzania itakuaje??
Lakini hata hivyo, hata kabla ya hawa MADALALI YA MAUAJI Tanzania hawaja piga hata hatua moja kwa ajili ya kutetea uchuro wote huu dhidi ya umma nchini, ni vema yeyote mwenye kujali akawauliza kwamba je NYUMA YA KISOGO CHAO NA KILE CHA MATAJIRI WANAOAGIZA MAUAJI HAYA KUTEKELEZWA wao wanaona kitu gani hapo hadi sasa??
Hakuna amani hapa kwa ncha ya upanga kwa mtu yeyote kudiriki kutetea UCHURO mbele ya uso we umma wa Tanzania.
Swala la Dr Mwakyembe sasa limeongezeka 'ugumu' zaidi tena kupita maeleza huko ndani jikoni.
Wakuu lisemwalo lipo na kama halipo linakuja,hawa watu siwafahamu kwa kuwaona uso kwa uso.
Kuna taarifa kutoka jikoni kuwa hawa watu wanasababisha nchi isitawalike,kwa fununu tu ni kwamba hawa watu watauwawa kwa wakati tofauti,namjua Samweli Sita ni Waziri na Mbunge hao wengine siwajui.
Naomba yeyote aliye karibu nao awape hizo,mambo sio mazuri kabisa system nzima imeharibika,okoa maisha yako!
source mimi na mtu wangu wa jikoni!