Simbou
Member
- Feb 8, 2012
- 17
- 5
Tar 30 Jan. waziri mkuu alitangaza kuwa madaktari warudi kazini, na kwa yeyote ambaye angepinga kutii tamko lile anakua amejifukuzisha katika sekta ya umma. Na aliahidi kuwa katika kupambana na hili yupo tayari kuchukua madaktari wa jeshi wasaidie (back-up).
Jana tar 09 Feb. amekubali kukaa na madaktari hao hao aliowajibu mbovu na kuwaomba sana sana warudi kazini kuokoa watanzania wanaohitaji msaada wa kitabibu na kuwa swala lao litashughulikiwa kwa haraka kadri iwezekanavyo.
Wana Jamii mnamuelewaje huyu kiongozi, upo wapi msimamo wake kama kiongozi mwenye nafac kubwa namna hii!??
Jana tar 09 Feb. amekubali kukaa na madaktari hao hao aliowajibu mbovu na kuwaomba sana sana warudi kazini kuokoa watanzania wanaohitaji msaada wa kitabibu na kuwa swala lao litashughulikiwa kwa haraka kadri iwezekanavyo.
Wana Jamii mnamuelewaje huyu kiongozi, upo wapi msimamo wake kama kiongozi mwenye nafac kubwa namna hii!??