UFC & Mixed Martial Arts

UFC & Mixed Martial Arts

Nyani, kwani nawe unazipiga?!
....mimi nilicheza zamani sana jijitsu (kama aka 12 hivi), ila najiona bado wamowamo, saa nyingine nakuwa najiamini kupita kiasi haswa haswa nikiwa navinjari viwanja utafikiri itanisaidia vile, hali ugomvi wa mle ni wa vyupa, spring knives na ukiwa na bahati mbaya sana bastola!! Ni ile hali tu yakuwa unajua/ulijua kitu ndiyo inakuingia na kukututumua kichwa haswa pale tungi linapopanda!!
image.jpg
 
Miaka hiyo wengine wazo la kumiliki simu tunajua halipo miaka ya karibuni na uwepo wa JF hatuujui

Nipo JF kila siku asee
Kwel kabisa...


Naona angle zako sijakukuta ...
Nimefurahi kuona upo ubaki Salama mkuu
 
Mimi nilichezaga kung fu na tai chi nikaishia mkanda mweupe

Ila sasa nimechoka ukija vibaya nakupa chuma ya makalio tu ukafie mbele!
 
Back
Top Bottom