Sir MGAX
JF-Expert Member
- Dec 10, 2023
- 578
- 811
Nyani, kwani nawe unazipiga?!
....mimi nilicheza zamani sana jijitsu (kama aka 12 hivi), ila najiona bado wamowamo, saa nyingine nakuwa najiamini kupita kiasi haswa haswa nikiwa navinjari viwanja utafikiri itanisaidia vile, hali ugomvi wa mle ni wa vyupa, spring knives na ukiwa na bahati mbaya sana bastola!! Ni ile hali tu yakuwa unajua/ulijua kitu ndiyo inakuingia na kukututumua kichwa haswa pale tungi linapopanda!!